Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Paskali rais wetu hajamalizana na wasaliti wa chama unaleta tena hii ya kabila lake vipi tena atapasuka skichwa mwache apangue one by one na apate muda wakupumua ...... bado Mzee wa meno na fundi Juma qa Tanga
 
Paskali rais wetu hajamalizana na wasaliti wa chama unaleta tena hii ya kabila lake vipi tena atapasuka skichwa mwache apangue one by one na apate muda wakupumua ...... bado Mzee wa meno na fundi Juma qa Tanga
Unaposoma Biblia au koran huwa unasoma Tarehe ya hizo story zimeandikwa lini???? Basi unapojibu au kuchangia hoja utofautishe wakati uliopita wakati huu na wakati ujao pengine uliyofundishwa shuleni ushayasahau basi pitia pitia kusoma madaftari yako ya shule ya msingi ili ujitambue kabla hujajibu hoja maana nimekusoma nikaona Unasafari ndefu hata familia yako naionea huruma...
 
Haaaa Mi sina safsri ndefu nadhani we ndo una safsri ndefun jibu hoja acha kunishambulia mm binafsi
 
duh, Tumwombe Mungu, alafu mwishoni tuseme, mapenzi yako yatimie
 
Walionielewa wa,menielew we ndo uko na tafari ndefu??...... nikushauri uwe unajibu hoja kuliko emotions ninaweza nisiwe na muda mrefu kwenye siasa ila nikawa nanuzoefu wakutosha ukishi kwenye imani isiyoruhusu chanya na hasi utapata shida ... labda nikuulize familia yangu inapata sida gani kiuchumi kijamii kielimu au kimazingira au kimazingara .....
 
Hanari za bibilia na misahafu hainihusu mm si muumini wa dini za mitumbwi mm ni muumini waimani ya dininla kanila langu
 
Pole sana kumbe kuandika ndio kunako kusumbua... I feel so sorry for your Mother...amezaa nini hiki? oh my Gosh...
 
Hanari za bibilia na misahafu hainihusu mm si muumini wa dini za mitumbwi mm ni muumini waimani ya dininla kanila langu
Umefikia unajijibu mwenyewe? Nakupa advice moja poa sana... kabla haujapost humu pitia ulichokiandika tena maana spelling kwako nimegundua unatatizo kubwa...Maneno Mengine huwa ni Matusi FaizaFoxy akikusoma atakucheka...
 
What the hell is wrong with inocent mother why hatubadiliki Hapa mama yangu wala wa kwako hayuko why unamushambulia hiyo nimlack of confidence on topic wanawake wa kiafrika wana tabu ila siku watajikomboa ..... ke ge mdogo wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…