Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Luck Star,
Ni kweli neno WALWA kwa kisukuma ni POMBE in Kiswahili na MAGUFULI ina maana ya KUFULI kwa Kiswahili na wingi wa KUFULI ni MAGUFULI......!!
Kwenye Kiswahili wingi wa kufuli si magufuuli.Wingi wa kufuli ni kufuli.
Umoja Wingi
Kufuli Kufuli
Kwa mfano somo sentensi hizi mbili hapa chini;
Umoja: Juma amenunua kufuli moja.
Wingi: Kesho Ana atanunua kufuli mbili kwa ajili ya milango miwili.
 
Mmmh!
 
Kwa wenye karama ya upambanuzi, jamaa ana mama ila biological father hajulikani.
 
Mi sijaona kosa la kakobe, magufuli ni binadamu kama wewe na mimi, na binadamu tunatenda dhambi kwa hiyo ni lazima tutubu!!

Na mimi nasema magufuli anatakiwa atubu!!
Watanzania sasa tumesahau kuwa ili tuishi kwa amani inatupasa kuepuka maswala ya udini na ukabila!
Kumtaka Raisi wa nchi atubu kiuhalisia ni kumuambia yeye mwenyewe na mahakama wasihukumu, wafungwa waachiwe huru, aamuru kodi isitozwe, achukue mali zake agawane na maskini n.k. yote anayotakiwa kufanya yeye kama Mkristo.
Je, mnataka Raisi aongoze nchi kidini?
Watanzania hamuoni kuwa mnamuandama Magufuli tu?
Je, Maraisi waliopita mlisha washauri watubu dhambi zao hata baada ya kumaliza mda wao madarakani?
Ni nani alietuloga akili zetu Watanzania?
Kabla hamjamuandama Raisi mfikirie kwanza Tanzania kuna dini nyingi sana na makundi ya aina nyingi ambayo yana haki kimsingi.
Kama wewe una udini na ukabila hutanielewa.
 
Hata akitubu Mungu hawez msamehe mtu mkatili km yeye ,ye aendelee tu atapata kile kinachomstahili
Katika kusoma maandiko matakatifu sijaona mahali panaposema ukifanya dhambi hii hauta samehewa, ninavyofahamu kuna maandiko yanayosema hakuna dhambi isiyo sameheka kwa Mungu.
 
Katika kusoma maandiko matakatifu sijaona mahali panaposema ukifanya dhambi hii hauta samehewa, ninavyofahamu kuna maandiko yanayosema hakuna dhambi isiyo sameheka kwa Mungu.
Dhambi ya kukufuru hautosamehewa imeandikwa kwa biblia
 
Utawajua tu,watoro wa kipindi cha jografia...hivi kweli paskali hujui muingiliano wa watu katika eneo la biharamulo,geita,kibondo,na kahama?au umeandika tu.!
 
Msikute Kakobe ameponzwa na baadhi ya hoja za kwenye bandiko hili.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…