Kauli ya JK kuhusu KATIBA, utata mtupu

unajua CUF walijifanya wao wanajua sana mambo ya kibasha ubasha. wakaja na zao za kusema popobawa au ngangali na ngunguli. walipelekewa mabahasha ambao kwanza walioanzia kupiga denda miti mikavu huko polini, Janja weeed! usicheza na CCM wewe, ogopa!

Mkuu, hujaeleweka falsafa yako ni ipi katika hili? kulikuwa na watawala wenye nguvu humu duniani, leo hii wapo katika historia! soma alama za nyakati, usiishi wakati uliopita jitahidi kuishi maisha ya wakati uliopo.
 
Guys sidhani kama kunajambo lolote jipya ulikuwa unategemea toka kwa mkuu wa kaya.Hoja hii haikuwa yake wala yao ndo mana anachanganya mambo na ndo mana hata washauri wake wakisiasa hawamwambii ukweli kuwa kizazi hiki hakiitaji vijembe, dharau, giraba ya aina yoyote kwenye mambo ya msingi kwa mstakabali wa taifa hili.Vijana wengi tumeelimika na hatuoni matunda ya rasilimali za taifa hili yakitumika kwa ajili ya watu wa taifa hili. Tunaamini kwa asilimia 100 kuwa katiba ndo tunda pekee litakalo tuwezesha kuona taifa la TANZANIA la miaka hamsini ijayo. Tunataka katiba hii ndo itupe mustakabali wa muungano wetu, ito kila aina ya upendeleo kwenye sheria ambapo mafisadi wanasamehewa kwa wizi huku wengine wanafungwa kwa wizi wa simu, imtambue mtanzaniani ni nani na anastahili kupata kipi kutoka kwenye keki ya taifa na siyo mapanki ya samaki.
 
Hata mimi nimemshangaa sana mheshimiwa,kwakweli sasa nimeamini kuwa wazo la kuandika katiba mpya halikuwa la ccm bali wao walidandia tuu na sasa inawauma kwasababu wanaona katiba mpya ni jeneza na kaburi la kuizika ccm na matapeli wao.
 
Guys sidhani kama kunajambo lolote jipya ulikuwa unategemea toka kwa mkuu wa kaya.Hoja hii haikuwa yake wala yao ndo mana anachanganya mambo na ndo mana hata washauri wake wakisiasa hawamwambii ukweli kuwa kizazi hiki hakiitaji vijembe, dharau, giraba ya aina yoyote kwenye mambo ya msingi kwa mstakabali wa taifa hili.Vijana wengi tumeelimika na hatuoni matunda ya rasilimali za taifa hili yakitumika kwa ajili ya watu wa taifa hili. Tunaamini kwa asilimia 100 kuwa katiba ndo tunda pekee litakalo tuwezesha kuona taifa la TANZANIA la miaka hamsini ijayo. Tunataka katiba hii ndo itupe mustakabali wa muungano wetu, ito kila aina ya upendeleo kwenye sheria ambapo mafisadi wanasamehewa kwa wizi huku wengine wanafungwa kwa wizi wa simu, imtambue mtanzaniani ni nani na anastahili kupata kipi kutoka kwenye keki ya taifa na siyo mapanki ya samaki.

Well said.
 
Hata mimi nimemshangaa sana mheshimiwa,kwakweli sasa nimeamini kuwa wazo la kuandika katiba mpya halikuwa la ccm bali wao walidandia tuu na sasa inawauma kwasababu wanaona katiba mpya ni jeneza na kaburi la kuizika ccm na matapeli wao.

Ni kweli wazo hili halikuwa la kwao, wamelichukuwa kwa sababu wanadhani kuwa CHADEMA ilipata umaarufu kutokana na kuahidi kuandika katiba!!! taabu kweli kweli! sasa wanaliendesha ndivyo sivyo!
 
Jk sijui aliupataje urais!! Thinking yake iko very mediocre!! Anaongea ongea tu bila kujua kama ana ongea nini!! Mungu hii kabila ya jk uliileta ya nini duniani lakini na wewe aaagh..
 
Ni kweli wazo hili halikuwa la kwao, wamelichukuwa kwa sababu wanadhani kuwa CHADEMA ilipata umaarufu kutokana na kuahidi kuandika katiba!!! taabu kweli kweli! sasa wanaliendesha ndivyo sivyo!

ndo wenye fikra zinazotuongoza
 
Miji wanaume inayopenda kulalamika siipendi subiri kamati ifanye kazi yake ndo tujue kikwete ana maanisha nini.
 
Tume iliyojaa wazee ikiwa haina uwakilishi wa vijana ndo inatengeneza katiba ya sisi vijana kwa miaka 50 ijayo? kwanini wajumbe wawe ni wazee tu,hivi akina Deus Kibamba wangeshirikishwa palikuwa na kosa lolote?

Nina uhakika huyu Prf.Kabudi yuko pale kuwakilisha wasomi (intellectuals) kutoka vyuo vikuu huku upande wa wafanyakazi tukiwa wakiwa,tungeridhika kuwa na ama M/kiti ama Katibu wa TUCTA katika tume hii lakini sasa bnafsi siridhiki na uwakilishi huu wa kizandiki,mbali ya hili sijuhi pale nani ni mwakilishi halisi wa wakulima fukara wa Tz?


Kama lengo ni mahakama ya kadhi ndo kisa cha wajumbe wengi kuteuliwa waislamu basi tusubiri kuchapana make bara hatuko tayari kama ni uislamu wapeleke huko Zbr kwenye nchi yao ya kiislamu na si hapa kwetu bara.
 
Tume iliyojaa wazee ikiwa haina uwakilishi wa vijana ndo inatengeneza katiba ya sisi vijana kwa miaka 50 ijayo? kwanini wajumbe wawe ni wazee tu,hivi akina Deus Kibamba wangeshirikishwa palikuwa na kosa lolote?

Nina uhakika huyu Prf.Kabudi yuko pale kuwakilisha wasomi (intellectuals) kutoka vyuo vikuu huku upande wa wafanyakazi tukiwa wakiwa,tungeridhika kuwa na ama M/kiti ama Katibu wa TUCTA katika tume hii lakini sasa bnafsi siridhiki na uwakilishi huu wa kizandiki,mbali ya hili sijuhi pale nani ni mwakilishi halisi wa wakulima fukara wa Tz?


Kama lengo ni mahakama ya kadhi ndo kisa cha wajumbe wengi kuteuliwa waislamu basi tusubiri kuchapana make bara hatuko tayari kama ni uislamu wapeleke huko Zbr kwenye nchi yao ya kiislamu na si hapa kwetu bara.

ukweli ni kuwa tuna tatizo la msingi
 
Kauli yake ya kusema kwani katiba inapiga kura, ni ya kihuni na inayotia shaka kama anajua katiba ndo inayoweka mfumo wa demokrasia ili hata huo upigaji kura uwe huru na haki, kwani hajui katiba ndo ilimpa mamlaka ya kuundo chombo kinachosimamia zoezi la upigaji, uhesabuji na utangazaji wa matokeo? Kwani hajui pia ni katiba inayosema matokeo ya urais yakitangzwa na tume huwezi kuyapinga popote! Mbona kikwete anakuwa wa ajabu kila kukicha?
 
Katiba mpya tutaandika sisi , sio tume wala JK inabidi wananchi mfahamu hili kwanza.
 
Katika kauli ya Kikwete sijaona tatizo. ni suala la kumwelewa. Kwani sio kweli kwamba katiba ya sasa inanyima hata kukata rufaa matokeo ya uraisi. Kwani sio katiba ya sasa inampa nguvu mgombea uraisi kuteua tume ya uchaguzi, jaji mkuu, mkuu wa Takakuru, usalama NK. Sasa anaposema inapendelea ni kweli. na inaweze ikatumika na yeyote atakayeshinda na kuhatarisha haki ndani ya nchi.
 
Back
Top Bottom