zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Katika maelezo ya Dr nchimbi waziri wa ulinzi,alisema Wale watekaji wa 5 walipofika kwenye Pub wakawakuta dr uli na wenzake wakampga KIBAO Wakati wakihamaki wakamchukua haraka DR Uli na kumwngza kwenye nyeusi isiyo kuwa na Plate namba.
2.Aliepeleka taarifa kituo cha bunju ni Raia mwema aliemuokota anaitwa JUMA.
Kamanda KOVA
Walipofika Leaderz club jamaa waliwalaza wote chini then wakampiki Ulimboka.
>Raia mwema aliemuokota jina lake wanalihifadhi kulinda Usalama wake
Why haya...
General hosptal Dodoma.
Intern Drs 11 waliogoma wametimuliwag
2.Aliepeleka taarifa kituo cha bunju ni Raia mwema aliemuokota anaitwa JUMA.
Kamanda KOVA
Walipofika Leaderz club jamaa waliwalaza wote chini then wakampiki Ulimboka.
>Raia mwema aliemuokota jina lake wanalihifadhi kulinda Usalama wake
Why haya...
General hosptal Dodoma.
Intern Drs 11 waliogoma wametimuliwag