kauli ya chadema tukio la mwanza

kauli ya chadema tukio la mwanza

Malunde-Malundi

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2008
Posts
1,288
Reaction score
131
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka kauli kwa ajili ya tukio la mwanza maana nyie ni chama tawala muache kulalamika we need a statement clearly giving directions kwa wana mwanza tuko tayari kwa lolote
 
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka kauli kwa ajili ya tukio la mwanza maana nyie ni chama tawala muache kulalamika we need a statement clearly giving directions kwa wana mwanza tuko tayari kwa lolote

Wataongea nini wakati baraza la madiwani wa chadema ndilo lililopitisha azimio la kuwaondoa wamachinga?
 
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka kauli kwa ajili ya tukio la mwanza maana nyie ni chama tawala muache kulalamika we need a statement clearly giving directions kwa wana mwanza tuko tayari kwa lolote

pekua humu kuna thread inaelezea kilichotokea mwanza (meya: manyerere)
 
manyerere analamikia kurukwa ktk maamuzi nataka kauli ya chama kuhusu tukio hili la historia ktk nchi yetu maana sasa naona polisi wameruhusiwa rasmi kushoot anywhere
 
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka kauli kwa ajili ya tukio la mwanza maana nyie ni chama tawala muache kulalamika we need a statement clearly giving directions kwa wana mwanza tuko tayari kwa lolote
kweli tunahitaji watu wenye upeo mkubwa kusolve matatizo ya waTz. Hili ni beyond itikadi za kisiasa. Inauma sana kusikia tena watu wamepoteza maisha. Where are we going?
 
Uongozi wa juu wa CDM na madiwani wao waliotoa uamuzi wa wamachinga waondolewe hawaelewani!
Hata mimi nina hamu ya kujua hili Sinema litaendaje! Ngoja niagize popcorn na soda mapemaaa
 
Back
Top Bottom