Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Kumekuwa na ukimya wa kushangaza kwani watani wa CCM wamekaa kimya kama wananyolewa ili hali mabillion ya serikali yako mbioni kuunguzwa au yameshaanza kuunguzwa na maandalizi ya Vita tarajiwa vya malawi. Tunahitaji kauli ya kutoka chadema ikiwa ni serikali kivuli