PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Akiwa Kwenye Mkutano wa Kumnadi Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Bw Magufuli Jana Mkoani Lindi. Mama Salma Kikwete Alitoa Kali Ya Mwaka.
Pale Alipo Sema Ukiona Majumba Yamejengwa Ujue Ni ccm. Ukiona Watu Wanamiliki Magari Ujue Ni ccm, Ukiona Watu Wanamiliki Simu Ujue ni Ccm. Ukiona Vitu vyote Ujue ni CCM.
Nikajiuliza Swali. Kumbe Hawa Viongozi Wetu Wanalinganisha Maendeleo Yao Na Familia Zao Na Kudhani Wananchi Maskini wa Nchi Hii nao Wanalingana Nao?
Ndiyo Maana Wanaweka Kodi Mpaka Kwenye Vitu Vya Msingi Kabisa Vinavyo Mgusa Moja Kwa Moja Mtanzania Maskini?
Sasa Naanza kuelewa Lugha ya Mke Wa Rais Watunisia Aliye Ondolewa Madarakani Kwa Nguvu Ya Uma.
Pale Wananchi Wake Walipo Paza Sauti Ya Kuomba Msaada Kwa Serikali Yao Juu Ya Ugumu Wa Maisha Unaopelekea Kushindwa Kumudu Hata Kununa Mkate Wa Kunywia Chai.
Mama Akawajibu Kwa Dharau Kama Wameshindwa Kununua Mkate Wanunue Keki.
Akidhania Kwamba Yeye Ana Kula Mikate Ikulu Na Kusaza Basi Na Wananchi Wake Uishi Hivyo Hivyo.
Jamani Ni Vyema Viongozi Wetu Wakajua Shida walizo Nazo Watanzania Na Umaskini Ulio Kithiri Ndani Ya Jamii Yetu Ya Watanzania,
Viongozi Wetu Wa Chama Na Serikali Wasidhanie Maisha Na Utajiri Walio Nao Wao Na Jamaa Zao Ndiyo Hivyo Hivyo Na Watanzania Walivyo.
Wakumbuke Watanzania Walio Wengi Kwa Sasa Wanashindwa Hata Kupata Mlo 1 Wa Siku,
Wakumbuke Kwamba Watanzania Walio Wengi Wanashindwa Kujenga Nyumba Bora, Kutokana Na Serikali Kulundika Kodi Kubwa Kwenye Vifaa Vya Ujenzi.
Viongozi Wajue Watanzania Wengi Wanashindwa Kumiliki Usafiri Kutokana Na Lundo La Ushuru Uliowekwa Na Serikali Kupitia TRA.
Ifikie Maali Serikali Ijue Kwamba Kazi Ya Kuwarahisishia Wananchi Wake Na Kuwaletea Maisha Bora Inatokana Na Utashi wa Serikali Yenyewe Na Viongozi Wake.
Hivyo Basi Sisi Kama Wananchi Tunaitaji Matokeo Bora Na Serikali Yenye Kujali Utu Wa Watu inao Waongoza.
Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Africa Tudumishe. Haki. Amani. Utu Wetu na Mshikamano.
Pale Alipo Sema Ukiona Majumba Yamejengwa Ujue Ni ccm. Ukiona Watu Wanamiliki Magari Ujue Ni ccm, Ukiona Watu Wanamiliki Simu Ujue ni Ccm. Ukiona Vitu vyote Ujue ni CCM.
Nikajiuliza Swali. Kumbe Hawa Viongozi Wetu Wanalinganisha Maendeleo Yao Na Familia Zao Na Kudhani Wananchi Maskini wa Nchi Hii nao Wanalingana Nao?
Ndiyo Maana Wanaweka Kodi Mpaka Kwenye Vitu Vya Msingi Kabisa Vinavyo Mgusa Moja Kwa Moja Mtanzania Maskini?
Sasa Naanza kuelewa Lugha ya Mke Wa Rais Watunisia Aliye Ondolewa Madarakani Kwa Nguvu Ya Uma.
Pale Wananchi Wake Walipo Paza Sauti Ya Kuomba Msaada Kwa Serikali Yao Juu Ya Ugumu Wa Maisha Unaopelekea Kushindwa Kumudu Hata Kununa Mkate Wa Kunywia Chai.
Mama Akawajibu Kwa Dharau Kama Wameshindwa Kununua Mkate Wanunue Keki.
Akidhania Kwamba Yeye Ana Kula Mikate Ikulu Na Kusaza Basi Na Wananchi Wake Uishi Hivyo Hivyo.
Jamani Ni Vyema Viongozi Wetu Wakajua Shida walizo Nazo Watanzania Na Umaskini Ulio Kithiri Ndani Ya Jamii Yetu Ya Watanzania,
Viongozi Wetu Wa Chama Na Serikali Wasidhanie Maisha Na Utajiri Walio Nao Wao Na Jamaa Zao Ndiyo Hivyo Hivyo Na Watanzania Walivyo.
Wakumbuke Watanzania Walio Wengi Kwa Sasa Wanashindwa Hata Kupata Mlo 1 Wa Siku,
Wakumbuke Kwamba Watanzania Walio Wengi Wanashindwa Kujenga Nyumba Bora, Kutokana Na Serikali Kulundika Kodi Kubwa Kwenye Vifaa Vya Ujenzi.
Viongozi Wajue Watanzania Wengi Wanashindwa Kumiliki Usafiri Kutokana Na Lundo La Ushuru Uliowekwa Na Serikali Kupitia TRA.
Ifikie Maali Serikali Ijue Kwamba Kazi Ya Kuwarahisishia Wananchi Wake Na Kuwaletea Maisha Bora Inatokana Na Utashi wa Serikali Yenyewe Na Viongozi Wake.
Hivyo Basi Sisi Kama Wananchi Tunaitaji Matokeo Bora Na Serikali Yenye Kujali Utu Wa Watu inao Waongoza.
Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Africa Tudumishe. Haki. Amani. Utu Wetu na Mshikamano.