Kauli mbiu ya UKAWA 2015

Kauli mbiu ya UKAWA 2015

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,291
Napendekeza kauli mbiu wakati wa mbio za uchaguzi kwa UKAWA na hasa CHADEMA iwe "Safari ya uhakika" kwani safari ya matumaini tunayo tangu uhuru.

Hata mgonjwa ukimpa vidonge achague vilivyoandika "Vidonge na matumaini na Vidonge vya uhakika", atachagua vidonge vya uhakika kupona.
 
Mkuu duniani hamna dawa ya uhakika. Dawa zote ni za matumaini. Wengine wanapona kwa dawa hizo hizo wengine wanakufa.
 
Mwaka huu tunataka mabadiliko ya kweli tumechoka kudanganywa na kauli mbiu,matunda ya kauli mbiu ya Nguvu mpya,kasi mpya,hali mpya maisha bora kwa kila Mtanzania yako wapi?tunataka mabadiliko ya kweli
 
Napendekeza kauli mbiu wakati wa mbio za uchaguzi kwa UKAWA na hasa CHADEMA iwe "Safari ya uhakika" kwani safari ya matumaini tunayo tangu uhuru.

Hata mgonjwa ukimpa vidonge achague vilivyoandika "Vidonge na matumaini na Vidonge vya uhakika", atachagua vidonge vya uhakika kupona.
"Safari ya uhakika" haina ladha nzuri kwa sababu ni modified adaptation ya msemo unaotumiwa na msaka rais mmoja mwenye mapesa kama benki. Hata hivyo UKAWA ina wataalamu wake wa kuunda misemo na soon watakuja na kauli-mbiu ya uchaguzi mkuu.
 
Back
Top Bottom