MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Sio wote........ila kwa kiasi kikubwa na ukiunganisha doti utawajua ya kuwa ni Me au Ke..............!!
Unanitongoza tu dushelele ishatuna,nikikupa si utaniua!!!
Aiseeeee
kumuapproach mwanamke yoyote ni process sio unakutana tu na mtu barabarani unakurupuka lazima ukutane na za uso,lazima ujenge mahusiano ya karibu kwanza kabla yakufikisha ujumbe wako na ukifanya hivyo hata kama utakataliwa lazima itafanyika kistaarabu.