..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!Huyu ana ufinyu wa akili hafai hata kuwa kiongozi wa kilabu cha Simba.
Imwkula kwake."Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
Aje ajiajiri tu si ana mtaji?Daaah Wabongo.... Karibu Dada Maisha bila Kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Yanawezekana. Umechukua Kiinua Mgongo Njoo uraiani Maisha yanaendelea..
Aje ajiajiri eehDaaah Wabongo.... Karibu Dada Maisha bila Kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Yanawezekana. Umechukua Kiinua Mgongo Njoo uraiani Maisha yanaendelea..
Jamani si aliomba radhi na kujutia makosa yake?Simuungi mkono jiwe katika 99℅ ya maamuzi anayoyafanya ila kwa kauli hiyo hata mimi ningemkata tu. Kauli ya kipumbavu na yenye umalaya ndani yake kutoka kwa mama mtu mzima. Sipati picha wale wafanyakazi walijisikiaje!
Jimboni kwake ndio hawataki Hata kumsikia!"Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
Mimi sijui, ndo nimeyasikia leo kwenye mada hii. Kama aliomba radhi sawa watajuana wenyewe, lakini hiyo kauli ilimdefine asili na akili yake.Jamani si aliomba radhi na kujutia makosa yake?
Alitimiza wajibu wake wa kibunge wa kuisimamia na kuishairi serikali. Huyu anastahili. Kinyume chake ni wale wapongezaji ambao hawatusaidii chochote.Licha ya kuongoza kura za wajumbe ila panga limekupitia. Chunga kauli siku nyingine.
Anaitwa Hasna MwilimaMwenye picha ya Husna Mwilima please
Anaitwa Hasna MwilimaView attachment 1543889
Kweli kabisa mkuu.Simuungi mkono jiwe katika 99℅ ya maamuzi anayoyafanya ila kwa kauli hiyo hata mimi ningemkata tu. Kauli ya kipumbavu na yenye umalaya ndani yake kutoka kwa mama mtu mzima. Sipati picha wale wafanyakazi walijisikiaje!