Kauli hii nayo imebagua walemavu

Kauli hii nayo imebagua walemavu

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,402
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
 
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Umeolewa? kama bado nakukumbusha mwanamke ni tabia, tunza usichana wako na mshikilie Elimu......utayakumbuka maneno haya Binti.
 
kuna uwezekano hata hujawahi kuwa kiongozi wa nyumba yako, yaan hata uwe tajiri wa aina gan huwezi kuwa mkubwa au mtu bora kuliko ukoo wako! sembuse kabila?

kosa kubwa ni kusema tumepoteza mtanzania aliye bora kuliko kabila lake. ni tusi kubwa sana!

nilivyofundishwa mm hata siku moja siwez kuwa mtu bora kuliko babaangu!!

biblia imesema waheshim babayako na mama yako ww unatukana kabila zima !!
 
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Hasimu ni yeye mwenyewe. Anavuna alichopanda.
 
Kwahiyo Mama Anna Mgwira akiongea Na kwenye msiba wa Anna Tibaijuka akasema wahaya wote ni Malaya isipokuwa Mrs Tibaijuka,atakuwa sawa?
Huko siko,we wachokoze nshomile,wanakusoma
 
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Hao walemavu walitaja kabila lolote?Tuache kushabikia mambo ya kitoto.
 
Mwambie Kwanza akamuombe razi konk liqued mzee wa mama nakufaaa maana hii ya mkulu imefunika mpk ile ya piere
 
Back
Top Bottom