Kauli hii nayo imebagua walemavu

Kauli hii nayo imebagua walemavu

Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Wewe na huyo hovyoo mnazama mnatafuta unyasi uwaokoe.
 
Hakuna kauli atakayoitoa Makonda ikaonekana sahihi mbele ya wauza ngada
 
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Bashite anavuna alichopanda.

wacha apate kibano akome kuleta ukolomije mjini!
 
Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini...
 
Wacchaa ujinga

Wenye Hekima wameliona..Wewe nani? Makonda ametokota

Mh. Pius MSekwa amekemea tabia ya Dogo

 
Wacchaa ujinga

Wenye Hekima wameliona..Wewe nani? Makonda ametokota

Mh. Pius MSekwa amekemea tabia ya Dogo

Mtaokoteza kila kauli kuhalalisha roho zenu za kishenzi
 
Npo kivulini na maji nmekunywa
[/Qk] baridi yote hii unakunywa maji? Na mvua zote hizi unakaa kivuli gani?
Nakusawazisha kwanza ndipo nikusahihishe juu ya hoja yako!
Watu wenye ulemavu na siyo vilema ndivyo wanavyotambulika kistaarabu na kwa heshima. Binafsi nawaona waelewa kuliko huyu unayemtetea kwani wamejiaddress vyema kwa kumtaja tajiri na siyo mchaga! Sijui Kama akili yako inatosha kuibaini hekima na busara ya watu wenye ulemavu! Kwani hawalijui kabila LA hayati Mengi?
Kubali tu kuwa MNA kiburi na dharau za kishamba kisa ni madaraka tens ya kupangiwa! Ingekuwaje Kama angekuwa prince ambaye madaraka anazaliwa na kufa nayo?
 
Watanzania tuache chuki ya wazi kabisa dhidi ya jamii hususani kijana Makonda.

Kauli ya Makonda haikutakiwa kua big deal wala haikustahili aombe msamaha.

Walemavu kwenye hotuba yao ,walisema kuna Matajiri wengi nchini lakini Reginald Mengi alikua tofauti kabisa ,kwa moyo wake wa upendo na kutoa alichobarikiwa.

Swali ,,kauli hii inatofauti gani na ya Makonda?,mbona kwa hawa walemavu hawajaambiwa waombe radhi kwa kutofautisha Matajiri?

Tuwe wawazi kuna chuki binafsi dhidi ya Makonda ,na Mungu ni mwema mahasimu wa Makonda watashindwa vibaya kwa jina la yesu kristo

Amen
Una umri gani? Huelewi nini?
 
Back
Top Bottom