Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,144
- 3,848
Wakati nikiwa katika shule ya msingi baadhi ya kauli za walimu darasani zilizokua zinaniudhi na kunikatisha tamaa ni zifuatazo:-
1. mkimaliza kuongea nambieni niendelee kufundisha.
2. baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3.vichwa vikubwa akili nukta.
Tupia kauli za walimu zikizokua zikikuudhi katika shule ya msingi na sekondari....
Ni nini hiki umeandika?
umenifurahisha sana mkuu!"Humu darasani kuna maboga ambayo yamebiringishwa na wazazi wao toka nyumbani, muda wa kutoka ukifika yanasubiria waalimu wayabingirishe tena kurudi nyumbani"...
Madam Ansilla (akiingia darasani): "Good morning class."
Classroom: "Wagumu kuelewa, wepesi kusahau. Good morning madam."
I see umemuongopea, huenda hii slogan uliisikia kwenye maigizo.
"... wagumu kuelewa, wepesi kusahau; good morning madam"
teeeeheeeteeeseee!
darasa hili wengine watakua wapiga debe kazi yenu itakua kuwapokea wenzenu mabegi stand wakati wanarudi na kwenda shule