FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Mwalimu Kichunguu,
How do we stop them?
How do we stop them?
jamaa hawa wa ndc muziki mzito kwanza nyumba walizomuuzia fisadi mwenzao johnson lukaza pale namanga (zimezungushiwa mabati karibu na kituo cha daladala) kwa muda mrefu hizi ziliuzwa kwa karibu $ 2.5 million na ndc management ilikula hongo ya $500,000 wakampatia lukaza hizo nyumba.
Pili jengo la la dolce vita (formerly ndc club) iliuzwa kwa $1.5 million jamaa hawa wa ndc walivuta ulaji pia.
Tatu majengo ya glass plant huko mbagala na mwanza yaliuzwa kwa mizengwe mikubwa na kila kitu ndc ni deals tuu na ulaji.
Tatizo kubwa ni ufanyaji kazi wa hizi parastatals watu wanajisahau au hawajui wanayofanya, ndugu nasari naona yeye katoka kwenye private sector atakuwa anashangaa sana hiyo team iliyoko hapo, amezungukwa na walaji tuu (crooks).
Nashangaa mtu kama simbakalia anapewa kazi kuwa mkuu wa mkoa wakati ndc ameiharibu sana na kugeuza kuwa mahali pa kufanyia deals.
Hawa jamaa wapandishwe kizimbani haraka ... Na mahela ya tax payers warudishe haraka.
Tanzania itajengwa na wenye meno???