Katuni ya SHILAWADU na yanayoendelea nchini

Katuni ya SHILAWADU na yanayoendelea nchini

Reucherau

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
756
Reaction score
1,740
shilawadu.jpg
 
kwa kweli hapo kuna ubuyu wa lulu kuachwa na majizoo au dogo janja kuibiwa power window na taa za gari ,kwa kweli mheshimiwa hicho ni kipindi bora kabisa cha tv hamna cha wanawake live,sijui kazi sijui kile cha kilimo hicho ndo chenyewe mheshimiwa
Nawaaaaaona nawaaaonaaaaaa,mnakula tu ubuuuuuyuuuuu, mnanyapianyapia magari ya bashite ana yo blackmail mapapa ya ungaaaaa,nawaaaaaooonaaaaaaaaa.
 
Ha ha ha ha nmecheka utasema mazur dah
 
ha haaaa haaaaa kweli kama una hasira za haraka usijaribu kuwa rais
 
Mh amenogewa ubutu mtamu wa shilawadu
Kwa kweli Mh amekuwa akionesha dhahiri kuwa hapendi TBC.
Ni wakati wa Mkurugenzi wa TBC kujitathimini
 
Back
Top Bottom