Katuni ya Kipanya kwa CHADEMA!

Hakuna cha kujifunza na Masoud naye ni msaliti, mhaini, anatumiwa na CCM na pia ni mtu ZZK na usalama wa taifa ( Kwa sauti Tundu Lissu akiwa amesahau dawa zake za ukichaa)

Umenichekesha...!!

Sijui kwanini nimeanza kuwa na mashaka na kichwa cha Tindu Lissu katika siku za karibuni.
 

Huwa natamani siku nipate japo wasaa kidogo tu nimhoji mawili matatu, jamaa ni very creative na talented and he knows that!
 
Kipanya ana ubongo wa panya na anafikiri kipanya panya.
 
Tatizo kubwa lililopo hapo kwa chama fulani ni kwamba ngoma inavuka, tatizo ndiyo hapo tu
 

namkubali kp kuanzia content mpaka packaging.
 
kuvuka mbona simpo tu, wanaacha gari hapo wanavuka kwa mguu. gari nini bana!!
 
kutoka kwa kingkinya
 
tukumbushane hii jamani.
 
Hahahahaaaaa kweli mwenyekiti Gangwe, huwezi amini tumevuka salama
 
Mbowe alivyokikumbtia kiti....,atafanya lolote awezalo kisimponyoke.
 
Kumbe kipaya alilena mbowe katika kipindi hiki?
 
Mbona hajamchota John Cheyo Mrema Lipumba Mbatia Makaidi na wengineo kwenye chaguzi zao?
Masoud you can't compete with
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…