Katuni niliyoipenda

eacart150609.jpg


aisee, BAK,, this is so sad an true,, sijui mwenyewe akiiona, atajipanga vipi?
 
maggid
Senior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Sun Dec 2006
Posts: 73
Thanks: 0
Thanked 55 Times in 14 Posts
Kumbe jamaa alikuwa member humu!
Bila shaka kakimbia vijembe lazima atakuwa anachungulia.
 
aisee, BAK,, this is so sad an true,, sijui mwenyewe akiiona, atajipanga vipi?

Duh hii ni katuni yangu ya karne kwa kweli. Nitaitunza nije niwaonyeshe wajukuu zangu yaliyotukuta wakati wa ujana wetu kwamba we were very wrong kudhani kuwa urais ni kama umiss eti as long as una sura nzuri basi utaweza kuongoza nchi!!?

Kaizer hana cha kujipanga huyo unless humjuwi. Kwa taarifa yako hapo yuko kwenye 100% performance. Tumeliwa maskini mweeh!
 
Back
Top Bottom