Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
MTAZAMO wa msanii wa Katuni baada ya Serikali kuingilia kati kudhibiti Mfumuko wa Bei na kupunguza Kodi mbalimbali kuleta unafuu wa maisha kwa wananchi.
Mwacheni Mama yetu kipenzi maana anaupiga mwingiMTAZAMO wa msanii wa Katuni baada ya Serikali kuingilia kati kudhibiti Mfumuko wa Bei na kupunguza Kodi mbalimbali kuleta unafuu wa maisha kwa wananchi.
View attachment 2185745
Weka Avatar picha yako halisi.MTAZAMO wa msanii wa Katuni baada ya Serikali kuingilia kati kudhibiti Mfumuko wa Bei na kupunguza Kodi mbalimbali kuleta unafuu wa maisha kwa wananchi.
View attachment 2185745
Yaani mambo yanavyoenda, nilishasahau kuwa ndo miezi 13 tu! Naona kama mateso yatakuwa ni ya muda mrefu mno!Huenda kwa Mda Mfupi Rais Samia ndio akawa Rais aliechorwa mara nyingi kuelezea shida za utawala wake na ndio Mwaka Mmoja wa Mama tusubiri hio mingine.
Naunga mkono hoja 🤣Sifa ya Katuni ni kutokuwa na mambo mengi! Kwa ufupi hii Katuni ni ya kijinga na haieleweki kwa urahisi!
Kweli, si ya kibunifu. The talent is being forced though does not exist!!Sifa ya Katuni ni kutokuwa na mambo mengi! Kwa ufupi hii Katuni ni ya kijinga na haieleweki kwa urahisi!