Katuni inasema kuhusu mfumuko wa bei

Monica Mgeni

Member
Oct 7, 2021
82
134
MTAZAMO wa msanii wa Katuni baada ya Serikali kuingilia kati kudhibiti Mfumuko wa Bei na kupunguza Kodi mbalimbali kuleta unafuu wa maisha kwa wananchi.

Katuni PUNGUZO LA KODI.jpg
 
Huenda kwa Mda Mfupi Rais Samia ndio akawa Rais aliechorwa mara nyingi kuelezea shida za utawala wake na ndio Mwaka Mmoja wa Mama tusubiri hio mingine.
 
Huenda kwa Mda Mfupi Rais Samia ndio akawa Rais aliechorwa mara nyingi kuelezea shida za utawala wake na ndio Mwaka Mmoja wa Mama tusubiri hio mingine.
Yaani mambo yanavyoenda, nilishasahau kuwa ndo miezi 13 tu! Naona kama mateso yatakuwa ni ya muda mrefu mno!
 
Mchora katuni anamaanisha kodi zikitolewa kwenye vitu vilivyopanda bei,bei itashuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom