JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,201
Eti 'hilo ndo mtakalo anza nalo'...!? Nyie ni akina nani?Mkuu haya ni mawazo ya chama tawala,ambapo amri jeshi ndo mwenyekiti wa chama.
alafu ukumbuke katiba ya wananchi ilipendekeza mamlaka ya rais yapunguzwe,mkaipoka!
Na hilo ndo tutaanza nalo.Mawazo ya kizamani kamwe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa mabadiliko.
EL,Sumaye na Kingunge wamebadilika ndo maana wapo upande wa mabadiliko
waliobaki bado wana mawazo ya zidumu fikira za mwenyeki.
Madaraka ya urais yanaenda kwa mtu mmoja si Kikundi cha watu.
Kati ya mambo ambayo mgombea wenu ameahidi kutekeleza ndani ya siku 100 hilo ni namba ngapi?
Urais wa lowasa kama akiwa ni wake na familia yake,ndo maana unaona kampeni za BMW (baba,mama na watoto).
Halafu ufuatilie maoni aliyoyatoa lowasa kwenye tume ya Warioba. Ukiyajua utajiunga na dk Slaa.