KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kuna habari zinasema Katibu Muenezi wa sasa wa CCM amekuwa mpole na simachachari kiasi kuwa chama akionyeshi makucha wala taasisi zake,nakusema uvccm wamekuwa wakikatazwa kutoa matamko nakusababisha mvutano ndani ya Katibu muenezi na taasisi hiyo ya vijana !
Nakusema taasisi zimezorota kufikia kiwango kisicho ridhisha!,na kuna mkakati wakumuondosha na kumpa ajira nyine hivyo huu ujio wa Jerry Muro ni mkakati pangwa ndani vijana wa ccm wanaojiona wao ndio wanaoweza kutoa matokeo chanya!Kazi iliyopoo nikupitia kwa mtu mwenye ushawishi kwa Mwenyekiti wa CCM ili alitazame kwa makini hili hata ukiona utaona mkutano na waandishi wa habari utajikita kujitengenezea mazingira yakuaminika ndani ya chama.
UVCCM wanaamini siasa za Katibu mwenezi hazina kazi wao wanaona siasa za kuparurana katika majukwa kwa sasa ndizo zinafaa kwa kilindi hiki.
Yetu Macho.
Nakusema taasisi zimezorota kufikia kiwango kisicho ridhisha!,na kuna mkakati wakumuondosha na kumpa ajira nyine hivyo huu ujio wa Jerry Muro ni mkakati pangwa ndani vijana wa ccm wanaojiona wao ndio wanaoweza kutoa matokeo chanya!Kazi iliyopoo nikupitia kwa mtu mwenye ushawishi kwa Mwenyekiti wa CCM ili alitazame kwa makini hili hata ukiona utaona mkutano na waandishi wa habari utajikita kujitengenezea mazingira yakuaminika ndani ya chama.
UVCCM wanaamini siasa za Katibu mwenezi hazina kazi wao wanaona siasa za kuparurana katika majukwa kwa sasa ndizo zinafaa kwa kilindi hiki.
Yetu Macho.