T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,798
- 46,706
Ziko njia nyingi za maandalizi sio lazima clit ihusike. Ingawa ndio ina hisia za haraka na ni kwa kila mwanamke. Tofauti na hapo sehemu nyingine mpaka umzoee ndio ujue ana feelings kali wapi.Mwanamke Hana kisimi...unamuaamdaaje?..
Tatizo hili pia wanalo wanawake wa Kiarab, Kidjibouti na Kisomali....kwa kweli ni upuuzi sana na ukatili wa hali ya juu.Ni kuwaonea sana!
Yani mabint waliokeketwa wanapitia changamoto kibao ktk maisha yao ya mapenzi;
1, Hawafeel sex kwa 100%
2, Wakisex wanaumia
3, Hawako huru kitandani wanajifichajificha mara zima taa mara mchana no sex
4, They are not sweety at all coz their virgina is very wide and open as a result of cutting of labia majora and manora
Kisa.
Nimekutana na mabinti wawili tofauti mmoja wa Kimasai na mwingine Mkuria in Dar and they are bellow 30 but wamekeketwa kumbe bado hii inafanyika aisee.
Wote wanapitia changamoto moja aisee.
KUMKEKETA BINTI YAKO NI KUMKOSEA SANA AISEE HEBU TUACHENI MILA ZA KIPUMBAVU.
Kwa maelezo yako..Japo SI dhahiri inaoneka unaona ni kitu Cha kawaida kupunguza maumbile ya kike.Kuna mahali nimesema uliyoyaandika?
Naona Watu Wa Mara lazima wasupport mila zao... Zitaje hizo sehemu labda na sisi zitatusaidia...Ziko njia nyingi za maandalizi sio lazima clit ihusike. Ingawa ndio ina hisia za haraka na ni kwa kila mwanamke. Tofauti na hapo sehemu nyingine mpaka umzoee ndio ujue ana feelings kali wapi.
anaunga mkono anasema inasaidia nini kukeketa? kuna faida yoyote?Landa tupo Tofauti...sidhani Kama watakuwa hawafurahii tendo...Watakuwa wanajisikia viZuri tu ...Na shemeji Yangu msomi Doctor KABISA...wahuko Mara...anaunga mkono ukeketaji...Dooh
Nashukuru Mungu Dada Yangu anawatoto wakiume...sijui akipata wakike ..itakuwaje.
Hapa mtoa mada kasema hao mabinti wapo below 30. Si kwamba hio ndo age ambayo ukeketaji ulifanyika.Hapo kwa below 30 hisia zangu zinaniambia umedanganya ni below 20
THIBITISHA KAMA HUJADANGANYA
Team katerelo na girl aliyekeketwa wapi na wapi, haiwezi nitokea maishani.Naona Watu Wa Mara lazima wasupport mila zao... Zitaje hizo sehemu labda na sisi zitatusaidia...
Nimekuuliza swali ndugu, sijakusemeaKuna sehemu nimeandika kitu kama hiki? Au umeamua kunisemea
Mnawaita ngariba...😂😂Huku kwetu Tarime hawaelewi kabisa😫😫sasa hivi ndo wamepamba moto
Serikali ilisha ongeza nguvu hadi Tarime ikapewa Kanda maalumSerikali iongeze nguvu huko!
Mwali, ebu njoo nikuelekeze kwa vitendo...😋😋Naombeni ufafanuzi wa hiyo namba 3, kwani uwa inakuwaje mpaka wafikie kutofeel comfortable kukiwasha mchana?
Sio kila mwanamke anauwezo wa kuuarusha, ingawa kila mwanamke anayo koki ambayo kama "ukifanikiwa" kuipata lazima maji yatokeHivi wakikatwa yale maji ndo hayaruki tena?
Unaiona in and out, left and right, up and down...😂😂Oh! Pole zao jamani, kuna raha yake kukiwasha kwenye mwanga.
Mkuu.... Wale hawakatwi kiharage, bali waka kata (antenna) kingozi cha juu kile ambacho kazi yake kubwa ni kuifunika nunu na pia huongeza hisia pindi kinapoguswa na mjegejo ili kurahisisha ute kwaajili ya kufungua na kuingia getiniHivi makovu....au kovu au kikovu.
Afu si kinakatwa kile kiharage sasa adi mwanaume uone kile....labda ukiwa unataka kupiga deki👅
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....sifa zako zimenifurahisha.Team katerelo na girl aliyekeketwa wapi na wapi, haiwezi nitokea maishani.
Hii ni stigma ila sipendi nidate na mtu siwezi zama au kupokea fountain.
Chubby + bouncing πits + round @$$ + soft skinned + black/chocolate. Sifa zote hizi ila akikeketwa am out.
Anatetea mila za huko kwao Musoma...anaunga mkono anasema inasaidia nini kukeketa? kuna faida yoyote?
hizo mila zinasaidia nini kwa binti hadi wakaamua kuzipracticeAnatetea mila za huko kwao Musoma...