Nafikiri CDM wakikubali kuungwa mkono na mgonjwa wa fikra kama wewe ni kuongeza matatizo ni bora usije ili kuwa na ahueni kaa na mawazo potofu na njaa ukifikiri watanzania leo bado wako na maskini wa **** kama wewe. Jipime na utafakari maneno yako na uwezo wako ili ujue leo watu wanataka nini, shauri yako ukifikiri kula pilau kwa CCM ndiyo neema kwako, pilau ya siku moja mateso miaka mitano utasema unawaza?