Katoto kazuri

Mimi ni mtu mzima na jitambua ila siwezi onyesha humu mimi ni mtu waaina gani yanini?
Hata kama nina watu wananikubali humu siwezi kuprove kwamba i am a big girl .
Niko huru hii nchi ni huru so naamua kuwa mtoto mdada mmama ninavyotaka do you know why iam who i am .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Be yourself and only yourself. Life is too short to give a ***. Let them adjust [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katoto kazuri leo umepatikana Wallahi. Naona unatapatapa kweli.

Jitahidi siku nyingine ufanye marekebisho kwa baadhi ya mada utakazohitaji zisomwe humu. Ukisema hulipwi kwa kutoa post zenye akili. Ni kwamba unalipwa kutoa post kama hii ya leo ambayo imenishtua mpaka mimi Mumeo.

Comments za hapa sichukulie poa My dear. Ila fanyia kazi uliyoambiwa.
 
kuna muda unasoma uzi huku ukiwa na stress zako kadri unavyojitahidi kusoma uelewe ndo unazidi kuona duble duble unaamua kuachana nao kusoma komenti sasa hapo ndo unajiona kumbe upo sawa ila mwenye matatizo ni mtoa mada

by the way jitahidi kuweka stori zako vizuri, hauko mbaaali kivile kumfikia Kasie au Money Penny kwenye vistori vyenu kama hivi


katoto
 
Marvellous
 
Yaan wewe dem bwana ulivyo ulivyo sasa kama furushi tumbo halijulikani liko wapi,unavyopenda sasa mahandsome sasa,wanasema hakuna mtu mbaya!lakini wewe demu ni mbaya na mbovu!
Ova!
 
Yaan wewe dem bwana ulivyo ulivyo sasa kama furushi tumbo halijulikani liko wapi,unavyopenda sasa mahandsome sasa,wanasema hakuna mtu mbaya!lakini wewe demu ni mbaya na mbovu!
Ova!
Sikushangai unakichaa mimi sihangaikagi na vichaa ova .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…