Tormenter
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 425
- 804
Katikati ya uhai na kifo, hapo ndipo kuna maisha yako..
Kabla hujafa, wewe ndio adui mkuu wa furaha yako..
Ukiwa hai wewe ndio star, wa kuchagua uwe na tabasamu lipi.
Madeni yako ni wakati unapumua tu, ukiondoka watakulipia ndugu..
Amani unayoitafuta kwenye vichaka vya usaliti, na wanafki wasioisha.
Ipo kwenye kuwaelewa watu, na kutokata tamaa na vituko vyao..
Shida unazojaribu kuzitoroka, zipo kwa ajili ya kukufanya uelewe, kuhusu pumzi na thamani yake..
Wafu hawapewi mikosi, wala changamoto za kukimbia kodi..
Kama upo hai, katikati ya wewe na kifo chako, hapo ndio kuna maisha..
Usiogope..
Mmonga kundungu, kumeyo mwanja
Kabla hujafa, wewe ndio adui mkuu wa furaha yako..
Ukiwa hai wewe ndio star, wa kuchagua uwe na tabasamu lipi.
Madeni yako ni wakati unapumua tu, ukiondoka watakulipia ndugu..
Amani unayoitafuta kwenye vichaka vya usaliti, na wanafki wasioisha.
Ipo kwenye kuwaelewa watu, na kutokata tamaa na vituko vyao..
Shida unazojaribu kuzitoroka, zipo kwa ajili ya kukufanya uelewe, kuhusu pumzi na thamani yake..
Wafu hawapewi mikosi, wala changamoto za kukimbia kodi..
Kama upo hai, katikati ya wewe na kifo chako, hapo ndio kuna maisha..
Usiogope..
Mmonga kundungu, kumeyo mwanja