Katika Ukoo wetu Shangazi zangu wengi Hawaolewi,Hii ni Mikosi au?

Wao wana masononeko ya kukosa waume??au wewe ndio umeona kua wanastahili kua na waume??
 
Hayo ni maswala ya kiroho zaidi,yanatatuliwa kiroho pia. Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege ameyaeleza kwa kirefu sana,ameandika na vitabu pia. Tafuta hivyo vitabu title: " mbinu za kumwombea mzaliwa wa kwanza kama lango". Ukisoma hivyo vitabu utaona chanzo na suluhisho la tatizo la shangazi zako.
 
mkuu kuna familia zengine zina tabia zao ndo maana unaweza sikia wale kwa wana mdomoo,wa ringa,wana jifanya matawi,sasa usiwalaumu sanaaa huenda mashangazi walikosea kujua tabia asilia ya mwanamke ni unyenyekevu kwa mumewe,umekiri washaolewa sasa tatzo lipo hapo
Kweli kabisa mkuu,Mwanamke anajiona yeye ndiyo yeye,kwa hiyo alishazoea kukaa mwenyewe na kuwa huru,familia yao ipo njema
 
Sidhani kama ni nuksi/laana. Suala la kuoa au kuolewa ni mipango ya Mungu mie nachukulia kama zawadi kutoka kwa Mungu,ndio maana wengine hadi wanazeeka hawajaolewa au kuoa.
 
Mi nnadhani ni malezi,wamelelewa kwa kudekezwa zaidi na kuaminishwa hata wasipoolewa poa tu,kujengewa kujiamini zaidi na kutotaka kujichanganya na wengine kwa hiyo wameambukizana akil hasa katika suala kuwa na mme,na pia kosa jingine ni pale wanapoolewa na ndoa ikiwashinda wanapata ujasiri wa kurudi kwao,kwetu hiyo hiyo haipo,ukiolewa umeolewa ndoa ikikushinda tafuta pa kwenda,kwa hiyo inasaidia Mwanamke kutokuwa na wazo la kuachika kurudi Nyumbani na mwisho wa siku anavumilia na kuona kawaida,mpaka anatulia kwenye ndoa kabisa,lakini wakizinguana na Mmewe na kuchukua jukumu la kurudi Nyumbani akapokelewa lazima atakuwa na kiburi tu kwa mmewe na hawez kumheshimu,hivyo waoaji wataogopa maana wameishayaona madhaifu yao na familia kwa ujumla,cha pili ni kuwa na ujasiri wa kuzalishwa wakiwa Nyumban na wasikemewe hivyo kuona poa,hivyo na wanaofuata wanaweza kuiga huo upuuz,kikwetu unatimuliwa na anaenda kwa aliyempa mimba,hivyo kama wapo wadogo zake wataogopa kwa kile kilichompata Dada yao,kwa hiyo ni vizuri ukajaribu kuyafanyia utafiti na haya mkuu utajua ni kwanini? hawaolew.
 
Hapa kwenye kujisikia Nina shangazi kama watatu hivi Hawa kweli haka katabia walikuwa nako lakini nashangaa Athari zake inamaana zimeenda hata kwa wengine wasiojisikia?
Mkuu hilo linawezekana sababu,Wanaume wanawaona nao ni wale wale na kuona ni ukoo usiofaa kuoapo,sababu sifa mbaya husambaa na kwenda mbali zaidi na huweza kuwahusisha na wasiokuwemo,mfano kama Familia ina sifa ya umalay,wizi/ujambaz,uchawi,uzurumaji na kupenda kesi
 
Kwenye hii mada kuna mwanga Fulani napata,nahisi huenda shangazi zangu Huwa wanataka mtu perfect asiye Na mapungufu hata kidogo.
Shangazi yangu mmoja ye aliolewa Na jamaa mmoja,baada ya zoezi la utoaji mahali kukamilika ikabidi mwanaume akabidhiwe mke ambaye ni shangazi .Kufika kwa Mme shangazi akakuta jamaa ana mke na watoto,shangazi akaambiwa akakae kwa Mama mkwe.Jamaa hakuna Na kitanda Wala godoro.Bahati Nzuri shangazi akawa Na tu vitu vitu kidogo plus ka nyumba alikokuwa kajenga.Kuona Mme yupo vile hakumaliza hata wiki akawa karudi home na mahali yote ikarejeshwa
Kwa hiyo uvumilivu ulikosekana hapo
 
Kwenye hii mada kuna mwanga Fulani napata,nahisi huenda shangazi zangu Huwa wanataka mtu perfect asiye Na mapungufu hata kidogo.
Shangazi yangu mmoja ye aliolewa Na jamaa mmoja,baada ya zoezi la utoaji mahali kukamilika ikabidi mwanaume akabidhiwe mke ambaye ni shangazi .Kufika kwa Mme shangazi akakuta jamaa ana mke na watoto,shangazi akaambiwa akakae kwa Mama mkwe.Jamaa hakuna Na kitanda Wala godoro.Bahati Nzuri shangazi akawa Na tu vitu vitu kidogo plus ka nyumba alikokuwa kajenga.Kuona Mme yupo vile hakumaliza hata wiki akawa karudi home na mahali yote ikarejeshwa
Kwa hiyo uvumilivu ulikosekana hapo
 
Mnyama kibali tu jamaaa kaongea fact mfano sisi kwenye dini yetu huwa tunabatizwa ni pamoja na kuondolewa dhambi ya asili walioitenda mababu mpka MUNGU akawalaani pia kumbuka hata taifa kongwe la israel walipewa ahadi gani ju ya mataifa yatakayo iangalia kwa jicho la uonevu pia kumbka yale mapigo 7 aloyashusha MUNGU kwa misri ikiwa ni pamoja na watoto wa kiume kufariki maji kugeuka damu sasa unataka kusema wale watoto walimkosea nn Mungu zaidi ya wazazi wao kuwasababishia hiyo kadhia na kuhusu ukoo kurithi asee mi namifano mingi tu kuna ukoo mmoja hawa jamaa wapo vzri katika kusoma wajukuu ninao wafahamu mmoja yupo us ni dr na mwingine ni yupo canada ni it huku nyumbn kwao kuna kitoto cha mwanafamilia mmoja ambae huyo jamaa alisoma ampka akili zikayumba sasa ni zee wa gambe tu kitoto chake kilipofikisha miaka miwili kinajua kusoma hadi english bila kwenda hata school sasa hapo unategemea nn kunakoo hata akiuza maandazi unashangaa atakavyokuwa haraka n nature yao
Kweli kabisa
 
We ni kabila gani? kuna kabila fulani kanda ya ziwa wanakula mbu na watoto wa sato (fulu), wanawake wa ukanda huo
(si wote isipokuwa asilimia kubwa ni tatizo) wana sifa ya viburi mtindo mmoja,wajuaji kwa kwenda mbele hawajui kupika ni michemsho tu maneno mengi wakati wanamiliki fulu na udaga tu,kuchepuka ndani ya ndoa ni sehemu ya fasheni pia ukikutana naye mji mkubwa haachi kujionyesha kuwa na yeye hajapitwa na wakati ,hutashangaa akikwambia anaishi Mwanza Road au anakaa kinondoni D au jana ameibiwa whatsapp kwenye mpesa ya simu yake.....Kama mashangazi ni wa ni ukanda huo si ajabu...
 
Sidhani kama ni nuksi/laana. Suala la kuoa au kuolewa ni mipango ya Mungu mie nachukulia kama zawadi kutoka kwa Mungu,ndio maana wengine hadi wanazeeka hawajaolewa au kuoa.

zawadi kutoka kwa mungu ndio ila kama ushaolewa utunzi ndoa yako kwa kujisahau ,mdomo mchafu maneno yasio ya kike na mafuta mengi -mungu akupe nini hapo?mama zetu hawa wanajisahau,
 
Ukweli ni kwamba laana na maagano ndo yanasababisha haya kutokea,mfano hai kuna jamaa alioa nyumba flani hivi,kila akiyezaliwa Kwa huyo mama ana baba yake huwez kuamini ile laana imeenda mpaka Kwa wajukuu,
 
tupia namba zao humu ambao wapo single tuje kuwa access tutatue changamoto
 
Back
Top Bottom