Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,338
- 8,266
Sikiliza hizo speech alafu niambie mtanzania gani mwenye speech kama hizo ukitoa Nyerere.Tangu mheshimiwa Mungu wake adedi baada ya kufakamia kikombe cha Madagascar, profesa wako kapoa kama yuko eda vile...
Haamini Mungu wake angededi kirahisi vile... huyu kirusi wa 19 hatishwi na mamitutu ya bunduki wallah
pata shule ya hizo speech weweKama umetumwa muda bado mbali sana na umri wake utakua ushaenda sana kipindi kimesogezwa mbele default
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Siku hzi mheshimiwa Mungu humumwamini tena eeh, siyo shujaa tena amekuwa huyo .mwingine sasaSikiliza hizo speech alafu niambie mtanzania gani mwenye speech kama hizo ukitoa Nyerere.
Basi sawaKatika maprof. nao waamini hapo bungeni ni huyu mwamba prof. Kabudi.
Prof. Kabudi ni jembe sana ila kwasasa hatumiki ipasavyo.
Ukiangalia na kusikiliza speech zake youtube zimebaba viewers kibao watu wanajisomea speech zake huko youtube.
Ngoja tujikumbushe speech za prof kabudi
Tusikilize speech ambazo hata mtoa speech mwenyewe haziamini?pata shule ya hizo speech wewe
Wewe una akili ya kisanvu kabisa.Prof. Kabudi ni jembe sana ila kwasasa hatumiki ipasavyo.
Ukiangalia na kusikiliza speech zake youtube zimebaba viewers kibao watu wanajisomea speech zake huko youtube.
Ngoja tujikumbushe speech za prof kabudi
Tena kile cha kopoWewe una akili ya kisanvu kabisa.