Katika Maprofesa ninaowaamini Bungeni ni Profesa Kabudi

Tangu mheshimiwa Mungu wake adedi baada ya kufakamia kikombe cha Madagascar, profesa wako kapoa kama yuko eda vile...

Haamini Mungu wake angededi kirahisi vile... huyu kirusi wa 19 hatishwi na mamitutu ya bunduki wallah
 
Tangu mheshimiwa Mungu wake adedi baada ya kufakamia kikombe cha Madagascar, profesa wako kapoa kama yuko eda vile...

Haamini Mungu wake angededi kirahisi vile... huyu kirusi wa 19 hatishwi na mamitutu ya bunduki wallah
Sikiliza hizo speech alafu niambie mtanzania gani mwenye speech kama hizo ukitoa Nyerere.
 
Basi sawa

 
Hivi haya matakataka ujue yalienda na wengi sana pale jumba jeupe?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…