Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 954
- 1,578
Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Omba yasikukute!
Vibaya hivyo kumcheka mwenzio mkuu [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hahahaaaaa daah nmecheka
Pole.Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Omba yasikukute!
Hahahaha Joseverest na Wewe ushaumizwa Mkuu?Aaah mkuu umenikumbusha machungu duuh
Aisee we jamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]USO na mwili vyote havina matumaini hata ukipaka mafuta hayakolei.
yeah one time..nami binadamu pia sio robot hahahHahahaha Joseverest na Wewe ushaumizwa Mkuu?
[emoji38] [emoji38] [emoji38]hapo ndo utajua shetani ka bet kwenye nyota yako
Omg[emoji79] ame nini nini eti?!Ume fwafwanzika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
PolePole sana mkuu!
Mimi huyu Dada niliyomuacha k wa mbwembwe nyingi nimekutana naye Jana nilitamani kama ardhi ipasuke nitumbukie maana ilikuwa ni aibu na machungu.
Fwafwanzika[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Omg[emoji79] ame nini nini eti?!
Haka kamsemo cjui kwanini kamenichekesha hivi.Fwafwanzika
Nadhani wewe hujacheka. Yaani. Niliposoma tu kwa mara ya 1 nilicheka mpaka nikahisi najikojolea. Jf kuna vitukoHaka kamsemo cjui kwanini kamenichekesha hivi.
We acha tuh ...watu ni shydaaNadhani wewe hujacheka. Yaani. Niliposoma tu kwa mara ya 1 nilicheka mpaka nikahisi najikojolea. Jf kuna vituko