Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
...nyie Watanzania wenzetu mnaoamini kuwa kwa "kuunga mkono juhudi za mtukufu na mpendwa Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli" nyinyi ndio wazalendo wa kweli ila sisi tunaokosoa tunatumiwa na mabeberu na si wazalendo.
Naomba WOTE kabisa tusali ili:
1. Wanaoamini kuwa Magufuli anachokifanya sasa ni sahihi na ni halali yeye kukifanya matokeo ya hiki anachokifanya yawapate wote wanaomuunga mkono na kukubali kuwa ni sahihi WAO NA VIZAZI VYAO VINNE VIJAVYO
2. Wanaokosoa nao wapate matokeo ya kupinga na kukosoa kwao.
Naomba kila mtu ajae hapa aseme ama;
1. Nipate mimi na VIZAZI vyangu matokeo ya kile akifanyacho Rais Magufuli;
Au
2. Mimi nakataa matokeo ya kile akifanyacho Rais Magufuli leo kwangu na kwa VIZAZI vyangu.
Naomba mods msiufute uzi huu ili tujadiliane kwa uwazi.
Naomba WOTE kabisa tusali ili:
1. Wanaoamini kuwa Magufuli anachokifanya sasa ni sahihi na ni halali yeye kukifanya matokeo ya hiki anachokifanya yawapate wote wanaomuunga mkono na kukubali kuwa ni sahihi WAO NA VIZAZI VYAO VINNE VIJAVYO
2. Wanaokosoa nao wapate matokeo ya kupinga na kukosoa kwao.
Naomba kila mtu ajae hapa aseme ama;
1. Nipate mimi na VIZAZI vyangu matokeo ya kile akifanyacho Rais Magufuli;
Au
2. Mimi nakataa matokeo ya kile akifanyacho Rais Magufuli leo kwangu na kwa VIZAZI vyangu.
Naomba mods msiufute uzi huu ili tujadiliane kwa uwazi.