DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Kuingia kwenye mahusiano ni sawa na kuweka amani ya moyo wako in line. Je upo tayari kuendelea na hali hiyo ?Kuna mdada nna dating nae muda tu.
Lakini mara kwa mara anapenda sana niambia kuna mtu flani alinitaka mara huyu ananifuata fuata yaan muda mwingine nakereka.....
Kuna siku nikamfuma ana flirt na watu mbele yangu ingawa anajificha nisimuone nikamuambia unasema watu wanakutaka wakati wewe mwenyewe ndio unawapa attention....akaomba omba msamaha kweli
Lakini licha ya hayo akawii kuniletea story za namna hiyo
Nimeshindwa muelewa kabisa