GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,425
- 120,772
" Namwomba huyo Msanii Ney wa Mitego atolewe huko Police na tena kama anaweza akaongeze baadhi ya mistari katika wimbo wake mzuri niliousikiliza wa WAPO kwani bado tuna matatizo mengi yanahitaji kuzungumzwa ili Jamii ijue na nchi isonge mbele ". Hii ilisemwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
" Tena natoa ONYO KALI kuwa kuanzia sasa hakuna na si ruhusa kwa Msanii yoyote yule nchini Tanzania kuimba nyimbo za Siasa bali waangalie maeneo na mambo mengine ya kuyaimba ili kuepusha uvunjifu wa amani wowote unoweza kujitokeza kwa kuimba Kwao Siasa " Hii ilisemwa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.
Nawasilisha na ama hakika ' This is Tanzania '.
" Tena natoa ONYO KALI kuwa kuanzia sasa hakuna na si ruhusa kwa Msanii yoyote yule nchini Tanzania kuimba nyimbo za Siasa bali waangalie maeneo na mambo mengine ya kuyaimba ili kuepusha uvunjifu wa amani wowote unoweza kujitokeza kwa kuimba Kwao Siasa " Hii ilisemwa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.
Nawasilisha na ama hakika ' This is Tanzania '.