Hahaha hatari sanaaaaKuna mmoja anaipongeza Azam tv kwa kuonesha movie nzuri ambayo anadai inaunganisha familia kwa kutizama pamoja. Mambo yamekuwa magumu kweli.
Mpango anatafuta sababu ila rc anaweza kupewa ubalozi wa nje kama kufichwaHapo itakula kwa mpango
Ubalozi Makonda hauwezi kule hakuna shisha na machangudoa au mashogaMpango anatafuta sababu ila rc anaweza kupewa ubalozi wa nje kama kufichwa
TunasuburiHapo itakula kwa mpango
Anaweza kama chaka fulani kuwekwa huwezi juaUbalozi Makonda hauwezi kule hakuna shisha na machangudoa au mashoga
Kuna Mungu wengi fafanua,mungu jiwemie sijui kwa nini Makonda amekua mkimya siku hizi,au ameona anakosa ushirikiano kutoka serikalini,kukimbilia kanisani inaonyesha jinsi anavyo feel helpless...anaweza kuwa depressed,kikubwa Makonda ana hofu ya Mungu lia na Mungu wako mwaya...ameshakupigania kwa mengi..keep having faith
Sidhani kama atashindwa..
Mungu gani?mie sijui kwa nini Makonda amekua mkimya siku hizi,au ameona anakosa ushirikiano kutoka serikalini,kukimbilia kanisani inaonyesha jinsi anavyo feel helpless...anaweza kuwa depressed,kikubwa Makonda ana hofu ya Mungu lia na Mungu wako mwaya...ameshakupigania kwa mengi..keep having faith
Huna lolote Magufuli mwenyewe ndio mkono wa makondamie sijui kwa nini Makonda amekua mkimya siku hizi,au ameona anakosa ushirikiano kutoka serikalini,kukimbilia kanisani inaonyesha jinsi anavyo feel helpless...anaweza kuwa depressed,kikubwa Makonda ana hofu ya Mungu lia na Mungu wako mwaya...ameshakupigania kwa mengi..keep having faith
Mungu gani?
Huna lolote Magufuli mwenyewe ndio mkono wa makonda
Dah mkuu unamautani yakwelikweli aisee hata uwaonei hurumaWote wametegwa wakaingia kingi
Wote wataondolewa!
Mpango amefeli kwenye uchumi
Na Bashite amekuwa Bashite kweli kweli
Wote wametegwa wamejaa wazimawazima!
Mpango atasepa na si MakondaJiwe safari hii atatulia,anaona akimmwaga Mpango watu watazidi kujua Makonda ni toto pendwa!Itatia doa serikali kwa kiwango kikubwa!
Hapo hapo hawezi kumgusa Toto pendwa!
Itabidi atulie soo liishe
Daud hajawahi kushindwaDaud atashinda