Katika hali kama hii ungefanyaje?

Daaah,ntalipuliza parachute lirudi tena juu kudadeki...


"Nlikuwepo":bolt:
 
Naona wachagiaji karibu woooote wanatamani kung'ang'ania kuishi duniani milele japo wanajua hapa tunapita kufanya mtihani ili ijulikane tutakuwa wa kuadhibiwa ama kustarehe huko peponi.

Katika hali hiyo hakuna cha zaidi, ni kutubu fasta maana umebahatika kuambiwa "SASA UNAKUFA" kuuomba muujiza si wakati sahihi.

Kwa maana Yesu alijibu akasema "usimjaribu bwana MUNGU wako"

ingekuwa heri mimba ya yule aliyekupa parachuti ingeharibika, maana tazama ametenda dhambi.
 
Hapo ni hatari tupu, Ni kuomba Neema ya Mungu hilo dubwashana likatue mbali nao, kinyume na hapo ni kusali sala ya toba ili walau ukastarehe kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…