da faiza.....usitake nchekeSerikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.
Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.
Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?
Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.
Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
Ni wewe uliepata kipigo pale Muhimbili? Ulitoka nduki ukikatiza vichochoro kama nguruwe aliye fumaniwa kwenye shamba la mihogo! Nyie ndo mnao haribu nchi hii. Kitu cha kusolve nusu saa mna by-time miaka!
Serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.
Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.
Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?
Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.
Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
Kwa ajili ya Madaktari? Haya na walimu nao wataiondoa Serikali hiyo na sisi tutaweka ya Kijeshi zizagae AK47 maana yanayowakuta Ethiopia, Somalia nkJamani tujiandae kuweka utawala mpya basi.
Dr Ulimboka ni mwenyekiti, wanachama katika chama cha madaktari tumemchagua kwa kura. Anafanya kazi kama wenyeviti wote tunaowafahamu kwa mujibu wa taratibu zao ndani ya chama, sasa je wenyeviti wote wa vyama (akiwemo huyo dhaifu) na sisi timng'oe kucha. Maana hapa inaonyesha watu na akili finyu wanadhani Dr ulimboka kaanzisha mgomo...... shenzy zenu mfyuuuuuuuuuuuuuuuu.
Serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.
Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.
Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?
Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.
Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
Huyo jama anajitafutia umaarufu, kama unapigiwa simu za vitisho si unaenda Polisi unachukua RB mapema? Mbona sijaliona hilo kwenye hii habari?
mmeshupalia serikali kana kwamba tayari without doubt imekuwa proved kwamba aliyefanya ufedhuli huu yupo bayana!!!!
Sipo upande wa kufata mkumbo! itakapothibitika kuwa ni serikali. .....tytasema yaliyopo moyoni, na itakapokuwa vinginevyo pia titasema yaliyopo moyoni na si kubwabwaja
Wanagoma nini? kama wameona hakuna maslahi si waache kazi tu? walizuiliwa, sheria zipo na hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi.
Hao wamezibiwa minya ya kuiba ndio hasira zao.
Kifungu ambacho kinawaumiza ni kuwa walikuwa wanataka call allowance hata kama hawapo kwenye call.
Serikali ikawazidishia call allowance na kuwaambia mtalipwa mkiwa "on call" tu, na hicho ndicho hawakukipenda wao wanataka hata kama hayupo on call alipwe kama kawaida yao.
we acha ubwege! Kama unauchungu na nchi hii jiulize ni kiasi gani hao wapumbavu unaowaita viongozi ambavyo wanaiba na kujinufaisha binafsi nafamilia zao wakati ni mali ya taifa la tanzania? Kwani wanatofauti gani na wauaji ambao wanaua watu pasipo na sababu, kama nchi hii ingefuata misingi ya utawala bora pasingetokea dr ulimboka na wala migomo tusingeisikia, zaidi hao viongozi wako wala rushwa wangekua marehemu yaani wangekuwa wameshanyongwa tusingeshuhudia upuuzi huu, nenda china uone kama kuna ujinga huu wa mtu kuiba kisha anaundiwa tume na baadae anapewa kitengo kingine, ila madaktari wanapodai haki zao wanaonekana wauaji pumbaaaaaaf zenu wote wenye fikra mgando kama fisi maji.serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya serikali ionekane chombo kibaya sana.mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? Mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? Mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? Mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?mbona hamsemi huyo ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? Wacheni ufataani.mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
Ni wewe tu mwenye akili za mbayuwayu ndie unayejua kuwa madaktari wanalipwa watanzania wanajua madaktari wandai haki zao na ni haki yao ya kikatibaUlimboka kala kichapo, sasa akisha uguza majeraha aje kutangaza tena mgomo unaendelea. Na bado, sasa tunawataka wale wanaowalipa hawa kina Ulimboka.
Madaktari wengi sana hawajui kuwa hawa kina Ulimboka wanalipwa na watu fulani fulani lakini kwa sasa wameshajulikana kinachofanyika ni kupata undeniable evidence watanzania wajionee wenyewe. Halafu watanzania na madaktari wengine wataamua nini cha kufanya. Lolote liwalo na liwe.
nani atathibitisha? Polisi? Ha ha ha ha ha!!!!mmeshupalia serikali kana kwamba tayari without doubt imekuwa proved kwamba aliyefanya ufedhuli huu yupo bayana!!!!
Sipo upande wa kufata mkumbo! Itakapothibitika kuwa ni serikali. .....tytasema yaliyopo moyoni, na itakapokuwa vinginevyo pia titasema yaliyopo moyoni na si kubwabwaja