Katibu wa chadema kata ya Igowole ahamia ccm

Katibu wa chadema kata ya Igowole ahamia ccm

Rich Pol

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
7,877
Reaction score
5,694
Katibu wa chadema kata ya Igowole wilaya Mufindi ndugu Josephat Sebadi Soda na wenzake 27 wamehamia chama tawala cha ccm.
 

Attachments

  • 1413241356621.jpg
    1413241356621.jpg
    10 KB · Views: 283
  • 1413241380695.jpg
    1413241380695.jpg
    12.8 KB · Views: 237
  • 1413241401166.jpg
    1413241401166.jpg
    17.7 KB · Views: 240
mpaka 2015 Mtei nayeye atakuwa amehamia tuu maana mbowe Yeye ruzuku anaipokelea south
 
Andika vizuri wewe gamba, huyo ni Aliekuwa.

Kwa sasa wala hana cheo chochote.

Kinana nae anapokea
 
mpaka 2015 Mtei nayeye atakuwa amehamia tuu maana mbowe Yeye ruzuku anaipokelea south

Slaa bado analipia kadi yake ya ccm huyo siku si nyingi atarudi, lakini Zitto angekuwa na kadi ya ccm siku nyingi angekuwa ameonekana msariti.
 
Nimesoma gazeti moja linaloaminika na wengi kuwa kiongozi huyo aliyeamia ccm amelalamika kuwa chadema walimwambia akope vifaa mbalimbali vya ujenzi wa mnara wa marehem Daudi mwangosi nyololo akakopa lakini hadi leo chadema haijalipa na anasumbuliwa sana wenye maduka ambako alikopa na amesema na mwenye kiwanja ulipojengwa mnara wa Daudi Mwangosi hajalipwa hadi leo anadai fidia ya kiwanja chake. Hela ya mbowe kwenda south Africa juz juz kujivinjari huku akiwaacha wafuasi waandamane peke yao ilipatikana lakin fedha ya mnala wa mwangos hadi leo hakuna, TAFAKARI!
 
Bora wametoka chama cha majuha hakina mwelekeo tena chagadema hakifai tena.

Ha ha ha ha...mkisikia chadema au ukawa UKAWA mnachanga nyikiwa..huyo mtakuwa mmemnunua kama mwanadiwani alivyo wanunua madiwani wa shinyanga
 
Nimesoma gazeti moja linaloaminika na wengi kuwa kiongozi huyo aliyeamia ccm amelalamika kuwa chadema walimwambia akope vifaa mbalimbali vya ujenzi wa mnara wa marehem Daudi mwangosi nyololo akakopa lakini hadi leo chadema haijalipa na anasumbuliwa sana wenye maduka ambako alikopa na amesema na mwenye kiwanja ulipojengwa mnara wa Daudi Mwangosi hajalipwa hadi leo anadai fidia ya kiwanja chake. Hela ya mbowe kwenda south Africa juz juz kujivinjari huku akiwaacha wafuasi waandamane peke yao ilipatikana lakin fedha ya mnala wa mwangos hadi leo hakuna, TAFAKARI!

Mkuu chadema wanagahamika wako ki maslahi zaidi, wanawadanganya watu eti wanataka kukomboa nchi, nchi gani eti Tanganyika. Shame shame.
 
Hivi kwa mfano Lau Masha akihamia CDM halafu nikaandika mbunge wa nyamagana (ccm) ahamia cdm mtanielewa kweli?
 
Katibu wa chadema kata ya Igowole wilaya Mufindi ndugu Josephat Sebadi Soda na wenzake 27 wamehamia chama tawala cha ccm.

huyo alipigwa chinibuchaguibuliopita achabkuwa hadaa watanzania
 
Kwatarifa nilizo zipata ni kuwa kwa takribani miezi mitatu sasa hakuna taarifa ya tembo kuuwawa wachunguzi wa mambo wanatabanisha kuwa ni kutokana na katibu mkuu wa
ccm Kinana kuwa busy na shughuli za kiasa akijitutumua kuokoa chama chake
kinachozidi kukataliwa na watanzania kwa nguvu
kila kukichana...hii imekuwa ahueni kwa taifa kwani wanyama hao sasa pengine wako salama kuliko kipindi chochote, wachunguzi wa mambo wameenda mbali zaidi kwa kuwashukru watu wa wili pengine wakawa wamechangia 1. Ni mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kumpa ukatibu mkuu hali iliyopelekea sasa kuwa busy na mambo ya siasa na kupumzika mambo ya ujangili na mtu wa pili ni Mch. Peter Msigwa kwa kumwambia ukweli kuwa yeye ni jangili na ndiyo anae maliza tembo wetu nchini...
Ni watanzania tumpongeze kamanda Peter Msigwa na Kikwete kwa kazi waliyofanya...
KINANA WEKA MBALI NA TEMBO
 
Mkuu chadema wanagahamika wako ki maslahi zaidi, wanawadanganya watu eti wanataka kukomboa nchi, nchi gani eti Tanganyika. Shame shame.

...Hivi ni kweli kura ya Zakia Meghji iliingizwa kwa wazanzibari ili kuchakachua katiba ya Wananchi?
 
Mkuu chadema wanagahamika wako ki maslahi zaidi, wanawadanganya watu eti wanataka kukomboa nchi, nchi gani eti Tanganyika. Shame shame.

tahira tahira tu...juzi tumegomea posho ya 300 000 kwa siku ukizidisha kwa mwezi tu utapata ni kiasi gani leo unasema tu maslahi na yale matoyoyo yenu yaliogeuza bunge disko utayaitaje...uelewe tu kuwa maslahi tuliyonayo ni kuwatetea watanzania...
 
Slaa bado analipia kadi yake ya ccm huyo siku si nyingi atarudi, lakini Zitto angekuwa na kadi ya ccm siku nyingi angekuwa ameonekana msariti.

zito zito kamabunampenda sana si kashi nae kwenu pumbavu...mwaume unamlalamikia mwanaume mwezako au wewe shoga nini...
 
Back
Top Bottom