Yajayo yanafurahisha walahi
Wewe jisahihishe. Hapa tunajaribu kuelimishana tu. Unatapatapa na kujitetea kwa nini sasa?Wewe unachekesha sana na hujaanza leo kuishia kwa kuvizia.
Sio lazima kuuliza kama unayotaka wewe.Sina cha kujisahihisha hapo.Wewe jisahihishe. Hapa tunajaribu kuelimishana tu. Unatapatapa na kujitetea kwa nini sasa?
Ha ha ha, mbona umepanick?Sio lazima kuuliza kama unayotaka wewe.Sina cha kujisahihisha hapo.
Unajifanya mwalimu wa lugha?
Wahuni wakikufamania uchochoroni LAZIMA wakukabe hata kama huna hela!!Ha ha ha, mbona umepanick?
Duh.Wahuni wakikufamania uchochoroni LAZIMA wakukabe hata kama huna hela!!
Salary Slip ni wewe? Kama mwenyewe hujui/hukubali umekosea, ya wengine utayajuaje?Kamsahihishe kwanza mwenyekiti wako asiejua hata kiswahili kabla ya kukurupuka!
Yaishe tusonge mbele jamani... kukosea kuandika lugha ya wengine siyo jinai wandugu!!Salary Slip ni wewe? Kama mwenyewe hujui/hukubali umekosea, ya wengine utayajuaje?
Mkuu chutama tu hata kama umeviziwa!!Wewe unachekesha sana na hujaanza leo kuishia kwa kuvizia.
Walikusumbua kwa kipiKipindi nikiwa kijana nilikuwa nasumbuliwa sana na wanawake ila nilipokuja kuwajua wanawake wanataka nini wala hawanisumbui tena.
Huenda akaunganishwa na TWAWEZA.
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Juma Abdallah!
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa Jackson Mnyawami, amekamatwa na Polisi jioni hii na kupelekwa Kituo cha Polisi Mazombe Wilayani Kilolo kwa kutuhuma ya kutoa lugha ya kuudhi mtandaoni dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kilolo.
Inadaiwa kwamba Mnyawami aliweka kwenye kundi la wana Kilolo video yenye nukuu ya majaji wakizungumzia uvunjwaji wa sheria unaofanywa na baadhi ya Wakuu wa Wilaya nchini na kuandika maneno yenye kuonesha kwamba ujumbe huo unamhusu pia Mkuu huyo wa Wilaya.
HII ITAISHA TANZANIA IKIPUNGUA TU IDADI YA WAJINGA. NA CRITICAL PEOPLE WAKIONGEZEKA TU MWISHO
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Juma Abdallah!
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa Jackson Mnyawami, amekamatwa na Polisi jioni hii na kupelekwa Kituo cha Polisi Mazombe Wilayani Kilolo kwa kutuhuma ya kutoa lugha ya kuudhi mtandaoni dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kilolo.
Inadaiwa kwamba Mnyawami aliweka kwenye kundi la wana Kilolo video yenye nukuu ya majaji wakizungumzia uvunjwaji wa sheria unaofanywa na baadhi ya Wakuu wa Wilaya nchini na kuandika maneno yenye kuonesha kwamba ujumbe huo unamhusu pia Mkuu huyo wa Wilaya.
Huo ushauri wao ndiyo umesababisha huyo Katibu awekwe ndani!Hii nchi ni juzi tu majaji wametoa ushauri lakini bado watawala ni wagumu Kuelewa