Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,379
- 21,718
Ni kweli hujui nani anaeongoza kusafiri jamani?? au ushapiga zanzi???Sasa ni dhahiri jimbo la Hai linarudi CCM baada ya Katibu wa Chadema HAI kutorokea CCM.
Wananchi wa Hai wamechoshwa kumuona Mbowe akisafiri mpaka kuwa mtaalamu wa kuweka gia za angani.sasa wanamtaka Danstan Mallya kuwawakilisha bungeni.