Katibu wa CHADEMA Hai ahamia CCM

Katibu wa CHADEMA Hai ahamia CCM

Niliwahi kusema humu kwamba HAI na Arusha mjini ni lazima zirudi ccm...iwe kihalali au kwa goli la mkono!
 
Sasa ni dhahiri jimbo la Hai linarudi CCM baada ya Katibu wa Chadema HAI kutorokea CCM.

Wananchi wa Hai wamechoshwa kumuona Mbowe akisafiri mpaka kuwa mtaalamu wa kuweka gia za angani.sasa wanamtaka Danstan Mallya kuwawakilisha bungeni.

Jimbo la CCM HILO kwa ushindi mnono.
 
Sasa ni dhahiri jimbo la Hai linarudi CCM baada ya Katibu wa Chadema HAI kutorokea CCM.

Wananchi wa Hai wamechoshwa kumuona Mbowe akisafiri mpaka kuwa mtaalamu wa kuweka gia za angani.sasa wanamtaka Danstan Mallya kuwawakilisha bungeni.

Mbowe ametusaidia sana hapa Hai,hakuna mwingine
 
Toroka uje ccm!!! HAPA KAZI TU.
Duh....... nyiye magamba kwa kucopy na kupaste kweli hamjambo.......

Kila linalobuniwa na wapinzani, nyinyi mwaiga.

Tuanze na M4C ya Chadema ambayo ni Movement 4 Change, nyinyi mkacopy na kuitafsiri M4C yenu kuwa Magufuli 4 Change!

Sasa na huo ubunifu wa Ukawa wa Toroka uje, nanyi mshajitengenezea Toroka uje yenu.

Kweli mwaka huu maji yamewafika shingoni na hamna mahali pa kutokea.
 
Sasa ni dhahiri jimbo la Hai linarudi CCM baada ya Katibu wa Chadema HAI kutorokea CCM.

Wananchi wa Hai wamechoshwa kumuona Mbowe akisafiri mpaka kuwa mtaalamu wa kuweka gia za angani.sasa wanamtaka Danstan Mallya kuwawakilisha bungeni.

Unafahamu jina la Katibu wa Chadema Hai, we pongo
 
Kaka utafuta kauli yako hii tu!! zimebaki siku 17 tu!!

Ni ngumu sana kuifuta...huwa sitoi kauli bila kujiridhisha kwa Ushahidi wa kutosha...so far nilichotabiri kimeanza kujidhihirisha...case ya Arusha jana na HAI leo.
 
Mbowe ni jembe la ukweli.Waache wanaohama wapige pesa zao ambazo ni kodi zetu.

Yaani ukawa ni majinga na mamburura, ndio maana hayana hata vipaumbele. Lakini sishangai ndio maana hayaandai hata viongozi kutwa yanaazima wagombea, kila kitu ni kuazima hadi sera, yatajisaidia mwaka huu. Kama katibu hana madhara mnacomment nini simtulie?
 
Duh....... nyiye magamba kwa kucopy na kupaste kweli hamjambo.......

Kila linalobuniwa na wapinzani, nyinyi mwaiga.

Tuanze na M4C ya Chadema ambayo ni Movement 4 Change, nyinyi mkacopy na kuitafsiri M4C yenu kuwa Magufuli 4 Change!

Sasa na huo ubunifu wa Ukawa wa Toroka uje, nanyi mshajitengenezea Toroka uje yenu.

Kweli mwaka huu maji yamewafika shingoni na hamna mahali pa kutokea.

Hata wazungu waliiga mbinu ya kutengeneza magari Kutoka Misri na sasa wazungu ndio wanatengeneza magari na wamisri waliishia ubunifu ule ule wa mwanzo.
 
sasa ni dhahiri jimbo la hai linarudi ccm baada ya katibu wa chadema hai kutorokea ccm.

Wananchi wa hai wamechoshwa kumuona mbowe akisafiri mpaka kuwa mtaalamu wa kuweka gia za angani.sasa wanamtaka danstan mallya kuwawakilisha bungeni.
yy sio watu wa hai tofautisha katibu na watu wa hai, fahamu kuwa waliondoka akina lipumba na slaa lakini moto unawaka tuu, mtawanunua masikini wooto watabaki wa ukweli ambao hawapendi pesa haramu, hapo ndipo mwisho wa ssm utakuwa umetimua bado wiki mbili tu, tununiame
 
yaani ukawa ni majinga na mamburura, ndio maana hayana hata vipaumbele. Lakini sishangai ndio maana hayaandai hata viongozi kutwa yanaazima wagombea, kila kitu ni kuazima hadi sera, yatajisaidia mwaka huu. Kama katibu hana madhara mnacomment nini simtulie?
mgombea alieazimwa ni yupi? Huyu mnae sema mmetua mzigo , sasa kama ni mzigo inakuwaje leo mseme ameazimwa? Unaweza kumuazima adui yako bunduki akuwindie ww?
Any way kuna huo mwenge wenu unajua maana yake maana uko ssm lakini ule moto umekuvuruga kabisa akili yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom