Katibu wa CCM tawi kishanje apigwa

Katibu wa CCM tawi kishanje apigwa

sidhani kama kumpiga huyo mwanasiasa ndio suluhisho, wangewatandika hao jamaa wa uvuvi kabisa
 
Siungi mkono kupigwa kwa kada huyo! Nalaani kitendo cha maccm kupandikiza watu kwenye mabaraza ya katiba ili kupinga rasimu ya katiba mpya. Ccm ni chama maslahi binafsi na si ya umma!
 
Huyo katibu atapata wapi majibu ya maswali magumu kwake wakati amepewa agizo rahisi la kuwaandaa watu wapokee waalimu watakaokuja kuwafundisha kuikataa rasimu? Wangemwuuliza hao walimu wanakuja saa ngapi, watafundishia wapi si ajabu angewajibu. Huyo katibu na aliyemtuma wote hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom