PreGE2025 Katibu UVCCM Dar atembelea Vijiwe na Vikundi kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura

PreGE2025 Katibu UVCCM Dar atembelea Vijiwe na Vikundi kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Mapema jana tarehe 15.03.2025 Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam Hussein Athuman Egobano Amepokelewa Kata ya Kisukuru huku akiongoza maandamano ya Hamasa Kwa Vijana wa Kisukuru na Kutembelea Vijiwe na Vikundi mbali kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura Kabla ya Kuingia Katika Kikao Kazi na Viongozi wa Vijana Wa Kata na Matawi ndani ya Kata ya Kisukuru.

Katika Kikao Kazi aliwahamasisha na Kuwaeleza Viongozi Wajibu na Majukumu Yao katika Kipindi hiki cha Kuandikisha Wapiga kura.

pia soma Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Screenshot 2025-03-16 161200.png
1742130774804.png
 
Mapema jana tarehe 15.03.2025 Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam Hussein Athuman Egobano Amepokelewa Kata ya Kisukuru huku akiongoza maandamano ya Hamasa Kwa Vijana wa Kisukuru na Kutembelea Vijiwe na Vikundi mbali kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura Kabla ya Kuingia Katika Kikao Kazi na Viongozi wa Vijana Wa Kata na Matawi ndani ya Kata ya Kisukuru.

Katika Kikao Kazi aliwahamasisha na Kuwaeleza Viongozi Wajibu na Majukumu Yao katika Kipindi hiki cha Kuandikisha Wapiga kura.

pia soma Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3272862View attachment 3272863
Hana kazi ya kufanya
He does have something better to do
 
Back
Top Bottom