Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Mkuu na kuunga mkono kabisa na nina shangaa JPM amekuwa mpole sana na mambo yanayo fanywa na Maalim Seif na CUF yake!Maalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.
CUF na Maalim ni wachochezi wanapaswa kudhibitiwa hata baada ya uchaguzi ni wazi wana lazimisha watu waone kuwa Zanzibar kuna machafuko na ndio maana wame amisha familia zao ili kuleta mshituko kwa watu kuwa kutakuwa na machafuko!
Ndio maana kila leo wanatoa matamko ili kuwatisha watu...