ayubu ebenezer
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 350
- 208
ccm wameshafeli, wamesema matokeo aliyojitangazia maal seif si ya kwel, ayo ambayo n ya kwel yako wap?
Maalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.
Wakuu wa mikoa tayar wameshateuliwa labda usubili ubalozi wa nyumba kumi, naona unahangaika sn kujikomba kwa magambaMaalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.
Maalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.
Jitahidi, ila usisahau kuwafunga kamba za viatu na kuwabeba watoto bosi, utakuwa na SIFA za kupata angalau uratibu tarafaMaalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.
Mleta mada uwezo wake wa kutafakari ni sentimeta 2,na zaidi anamkurupuko wa mawazo kama walivyo watawala wake bara!Maalim Seif akikamatwa kama unavyotaka mleta Mada je unadhani ndiyo suluhisho la kurejea amani huko Zanzibar?
Una akili kama za JECHAMaalim Seif Sharif Hamad anastahili kukamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa yafuatayo :-
Kujitangazia matokeo, Uchochezi wa kisiasa na matumizi mabaya ya madaraka. Haingia akilini mpaka sasa anaishi Selena hotel kwa pesa za serikali. Nyumba ya serikali aliyopewa kaikataa,
Anaendelea kuwahamasisha wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa 20/3/2016 huku familia yake akiwa ameihamisha kuitoa zanzibar hapohapo akihamasisha vijana wake kuchoma nyumba za Wanaccm, hii haikubaliki.
Naiomba serikali kupitia msajiri wa vyama vya siasa kukifuta chama cha CUF maana hiki chama kimekuwa kinashirikiana na magaidi kufanya machafuko Zanzibar.