Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Kauli ya mtu inakuzuiaje kufanya kazi?Hawa CHADEMA. wanaboa sana, hivi kweli watu waache kufanyakazi wabaki kusikia kauli zao za kijinga kijinga tu.
Kauli ya mtu inakuzuiaje kufanya kazi?Hawa CHADEMA. wanaboa sana, hivi kweli watu waache kufanyakazi wabaki kusikia kauli zao za kijinga kijinga tu.
Mwenyezi Mungu wakati wa kuumba alifanya yafatayo.Hawa CHADEMA. wanaboa sana, hivi kweli watu waache kufanyakazi wabaki kusikia kauli zao za kijinga kijinga tu.
Kazi ngumu kama hizo unazofanya hapo kwa shemeji yako unapoishi???Safi sana, wamuweke Lupango mpaka Jumatatu, viboko na kazi ngumu juu!
Hapana. Hapo hakuna matusi. Nioneshe tusi lipi hapoKwa uzoefu ulionao humu jf hata moderator wanakushangaa namna unavyotukana .
Ikifika mwisho imefika mwisho, lkn mpaka ifike mwisho!
Hata akina JK wamemumbuka mwisho baada ya mwisho kufika,hata wewe utakumbuka mwisho baada ya mwisho kufika
Nashangaa chadema na wao kuwa kama mrenda hivi kwa nini wamemuachia bashite na baba yake wanatamba hiviSafi sana, wamuweke Lupango mpaka Jumatatu, viboko na kazi ngumu juu!
Kum..a..ni..na.. ZakoBado Mbowe, hawa watu wakiminywa vizuri tutajua nani alitaka kumuua Lisu na kwa sababu gani
Wazee wa press na matukio! Ha ha ha ha haaaaMungu ibariki Chadema .
Kwani kisikiliza ni lazima.? Fanya kazi ykoHawa CHADEMA. wanaboa sana, hivi kweli watu waache kufanyakazi wabaki kusikia kauli zao za kijinga kijinga tu.
Mkuu hata hiyo afanyayo pale Corner Bar nayo ni kazi maana inamuingizia kipato kwani slogan yao ya hapakazituu anaitekeleza!Una kazi wewe!!! Ungekuwa na kazi ungepata muda wa kuandika shudu? Unajua kazi au unazisikia?
Mwisho ni mwisho tu hata wewe pia utafikia mwisho!
Ninajua ninamwisho ndiyo sababu natenda mema daima,ili mwisho wangu uwe mwema.
Mtenda mema hajisemei, isitoshe hakuna tofauti uwe Malaika, Jambazi, Muuwaji haijalishi wote mwisho wa siku mtapotea Dunia hii na kuja wengine, hii Dunia haijaanza jana!
Kwa mtu usiye na dini kama wewe aka Mpagani maana umetokana na Chama Cha Mauaji siwezi kukubadili fikra zako ovu.Pole sana.Duniani tunapita tu
Kwani umelazimishwa kuwasikiliza?Hawa CHADEMA. wanaboa sana, hivi kweli watu waache kufanyakazi wabaki kusikia kauli zao za kijinga kijinga tu.