Hajashika hela huyu.wenzake wanamcheka anavyopayuka
Huyu raisi naye mwiziKama viongozi wa CCM wanalinda wezi ndani ya chama, walahii mbele ya Rais Magufuli wataipata! wanaolinda na wanaolindwa wataisoma namba! Mfano mzuri upo, ukiona mbunge au Diwani anatoka chama chochote na kujiunga na chama tawala kabla ya kipindi chao hakijaisha kwa mujibu wa katiba, ni wazi wapo kwa sababu ya matumbo yao na siyo kwa sababu ya wapigakura na wote wale walio chini ya miaka 18!!!!chama tawala hakina shida ya kupata akidi, kwa hiyo Rais anawawasoma na atajua ni nani mwenye uchungu na nchi(Taifa)!Mimi kama raia wa kawaida naona wazi kuwa hawana uchungu na watoto wanasomea chini ya mwembe, au zahanati haina dawa, ni staili mpya ya kupiga madili!! NA CHAMA KINAWALINDA!!!
Kama Chenge vile?Safi sana , mimi huwa sina wasiwasi na mtu aliyepitia madrasa japo kidogo, katika nyakati fulani fulani za maisha yao hata kama baadae watageuka madhalimu lakini huwa wana chembe chembe fulani za ukweli, utu, haya na ikibidi ujasiri wa kuita nyeusi nyeusi
Kama Chenge vile?
Ngoja tusubiri mchezo huu utafikia wapi!Jiwe atajuta kwa huyo ushomire! Kaanza na ccm kukosa uhalali sasa haya pia, ATATEKWA!
Bashiru ni msanii wa kutisha !Hii ripoti ya majizi ndani ya MACCM mbona haijawahi kufanyiwa kazi? Kulikoni?
Bashiru ni msanii wa kutisha !