Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Aliyekuwa katibu mkuu ,James ndalivoi Amejiuzulu uanachama wa nccr mageuzi na kujiunga chadema ,kupinga kuvuliwa uanachama mbunge wa kigoma kus,David Kafulila,amesema yeye pamoja na jopo la wanachama 1000 wamejiunga chadema,anaamini ndicho chama kinachotetea maslahi ya kitaifa na wanyonge.source Radio Moshi fm .