JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Wizara hii imesababisa waziri mkuu E. Lowassa kujiuzulu, Karamagi na wengine wengi wakati huo hoja kuu ikiwa ni Richmond. Hivi majuzi Katibu mkuu amefukuzwa kazi Bwana Jairo kwa ajili ya rushwa. Na ni wizara inayoipeleka serikali ya JK puta, mchakamchaka, kudhaurauliwa na kupoteza mvuto.
............................................................JE NI KWANINI IMELAANIWA MAWAZO YAKO MUHIMU......................................................................
............................................................JE NI KWANINI IMELAANIWA MAWAZO YAKO MUHIMU......................................................................
