swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Nahitaji tu kujua Katibu Mkuu wa CCM Abdllahiman Kinana yuko wapi?
Wanajamvi habari za majukumu,
Nimefika pale ofisini kwake zaidi ya Mara 3 toka mwezi March ili nipate maoni yake kuhusu mwelekeo wa nchi yetu, democrasia na mambo mengine lakini majibu niliyopewa Mara zote hayaridhishi kabisa.
Najiuliza sana huyu comred yuko wapi? Mbona toka hii awamu ianze licha ya kupewa kuendelea kama Katibu Mkuu yuko kimya sana hatoi tamko lolote hata mambo yanapoonekana kwenda mrama jambo ambalo ni geni kabisa kwangu.
Alikuwa mkosoaji sana wa viongozi na kuwakaripia sana katika awamu iliyopita, sasa kipi kimemsibu? Ndo kusema kaishiwa pumzi? Zaidi namuona tu huyu Polepole akitoa matamko.
Hebu mwenye majibu sahihi anipatie Kinana kapatwa na nini?
NAOMBA KUWASILISHA.
Wanajamvi habari za majukumu,
Nimefika pale ofisini kwake zaidi ya Mara 3 toka mwezi March ili nipate maoni yake kuhusu mwelekeo wa nchi yetu, democrasia na mambo mengine lakini majibu niliyopewa Mara zote hayaridhishi kabisa.
Najiuliza sana huyu comred yuko wapi? Mbona toka hii awamu ianze licha ya kupewa kuendelea kama Katibu Mkuu yuko kimya sana hatoi tamko lolote hata mambo yanapoonekana kwenda mrama jambo ambalo ni geni kabisa kwangu.
Alikuwa mkosoaji sana wa viongozi na kuwakaripia sana katika awamu iliyopita, sasa kipi kimemsibu? Ndo kusema kaishiwa pumzi? Zaidi namuona tu huyu Polepole akitoa matamko.
Hebu mwenye majibu sahihi anipatie Kinana kapatwa na nini?
NAOMBA KUWASILISHA.