mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,270
- 12,310
Bwana Ado Shaibu amepata ajali huko Tunduru muda mfupi uliopita. Yupo salama na amekimbizwa hospitali
Chanzo
Facebook account ya gazeti la habari leo
===
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu amepata ajali ya gari kwenye Jimbo la Nanyamba Mkoani Mtwara ambako alikwenda kumnadi Mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo Colleta Kadinda, Ado ametoka salama kwenye ajali hiyo.
Ado Shaibu licha ya kuwa Katibu Mkuu wa ACT pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia ticket ya ACT.
Chanzo
Facebook account ya gazeti la habari leo
===
Ado Shaibu licha ya kuwa Katibu Mkuu wa ACT pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia ticket ya ACT.