comrade masai
Member
- Aug 8, 2011
- 18
- 0
kwa jinsi mchakato wa katiba unavokwenda sidhani kama watanzania watapata katiba yenye matakwa yao,Ccm wanajaribu kwa kila njia kuharibu mchakato mzima wa katiba,wanataka mapendekezo yao ndo yawepo kwenye katiba.Hii ni katiba ya watanzania sio ya CCM.