Katiba ya watanzania or ya CCM

Katiba ya watanzania or ya CCM

comrade masai

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
18
Reaction score
0
kwa jinsi mchakato wa katiba unavokwenda sidhani kama watanzania watapata katiba yenye matakwa yao,Ccm wanajaribu kwa kila njia kuharibu mchakato mzima wa katiba,wanataka mapendekezo yao ndo yawepo kwenye katiba.Hii ni katiba ya watanzania sio ya CCM.
 
Back
Top Bottom