Katiba ya shule

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Heshima kwenu wakuu,

Kuna ndugu yangu ana shule ya msingi ikiwa bado mpya kabisa,hivyo ameambiwa awe na katiba ya shule kama moja ya vigezo ili aweze kupata usajili.

Naomba kujua/kupata sample ya hiyo Katiba ya shule,nimejaribu kuangalia kwenye "Gugo" lakini sijapata msaada.

Posho kama asante italowewa kwa mwenye kusaidia.

Mchana mwema.
 
Watakuja tu kukusaidia
 
Waone hawa: issue zote zinazohusu documentations
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…