CCM NI LAANA TANZANIA
Imeajiri wajingawajinga kwa kupinga mambo yamsingi kwenye mitandao kishenzishenzi...
.katiba mpya hayataki
.. Mahakama huru hayataki
..Tume huru ya uchaguzi hayataki
.. Mizizi mirefu asivunje katiba hayataki avunje tu
...Bunge live hayataki
...Siasa nimchakato wa kila siku hayataki
Huwa nawashangaa sana hilikundi lakipropaganda mitandaoni la ccm utadhani mapunguani vile,
Wanaoteseka nisisi wote pamoja nawao....ndugu zao, rafiki zao, watoto wao, nk kwanini wanapinga mambo yamsingi?....ujinga na upumbavu waliojazwa na ccm kwa vihera vichache kilofalofa tuu.